Chakunyuma
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 810
- 152
Pamoja kamanda TL songambele only truth will set us free.
sina akili za ki ccm za kucheza na fikra za watu coz siko kutafuta umaarufu bali ni kupashana habari zenye ukweli na uhakika kwa walio mbali na eneo la tukio.
Mkuu, sasa nimeamini ulikuwa na uko makini.
Nisamehe kwa kutumia lugha ngumu na pengine kukufikiria vibaya kwa kukulinganisha na yule mtu, siku ya Christmass, aliyesema CUF walifanya mkutano siku hiyo, hivyo kujipambanua kuwa ni chama cha Kiislamu. Tulichangia, kumbe habari ni za uzushi.
Habari tumeipokea, ila ni too-short mkuu. Yaani kwa dondoo hizo ulizoweka najua kwa uzungumzaji wa Lissu kulikuwa na bonge la meseji.
Pamoja na yote nathamini mchango wako.
2015 tobo lissu hana lake lazima apigwe chini.hana lolote mropokaji tu
Mungu anisamehe; namuona TL kama vile mtu asiye na heshima, adabu na mlevi kupindukia; anapenda sifa za kijinga na simuamini hata kidogo..