Tundu Lissu kuitwa na Mahakama akiwa Bungeni

Kesi kibao siyo jibu, taja hata moja. Kama sheria ni msumeno kwa nini isitumike kwa watuhumiwa wa ufisadi walio wazi? Acha ushabiki...

Tena ubunifu huu ungekuwa mzuri sana kwani baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi wamo hapo bungeni, ungewarahsiishia utendaji waleta summons.

 
Hivyo ndivyo walivyo CCM au mshasahau walimkataa mwakalibela aliyetuhumiwa ana kesi bt wakamkubali basil pesa mbili mramba alokuwa anakwenda kisutu kila mwezi
 
Ana kesi kibao huyu.

Alidhania akipata ubunge atakuwa ameukimbia mkono wa sheria.

Judge hawezi kukurupuka kumtumia summons, there are very serious issues.

Aache kulalama na kuyumbisha bunge likiwa kazini, hakuna wa kumwonea huruma mhalifu.

Sheria ni msumeno, apambane na kesi yake.
Nimeamini kuwa kweli una matatizo ya akili.
 
Ingekuwa mafisadi nao wanapelekewa summons popote walipo tungekuwa mbali sana, naona hata Lowassa leo katabasamu Bungeni wakati John Lusinde akimfagilia eti "kwa kujiuzulu kwa makosa ya watu wengine!" Huyu dogo Lusinde hajui kwamba Lowassa na Dowans ni kama uji na mgonjwa? Ama kweli Bunge limetekwa!
 
This is wat a problem wit our country systems, utawala na uwajibikaji wa nchi hii ni tata sana iweje wabunge wako bungeni bado then wana mtumia wito wa mahakama?

hii inanyanyua maswali nsio yale yale ambayo JK alisema ni Bora Dr.Slaa awe Rais kuliko Tundu Lissu kuingia bungeni, Je raia waki na suspicious na serikali yao mtasema hawa ni wabaya.

Facts ni kuwa, Serikali kutokuwa makini na uzembe uliokithiri ndio chanzo cha yote haya yanayotoke bungeni alafu wananchi wanabaki kushangaa kwani serikali ya haina uwazi January Makamba kwenye barua yake alioandika kwa Ngeleja imejieleza vya kutosha Ahadi nyingi zaidi ya sita na hakuna mafanikio leo wabunge wa upinzani wakigoma tu wao ni wabaya oooh wanahatarisha amani. Jamani Haki mbona haitendeki? Iweje serikali iliyoko madarakani ilie tuu AMANI huku haki haitowi kama kuna wachafu ndani ya serikali watoke sasa maana wananchi wanaiju nchi sasa kwa mapana na marefu wasome alama za nyakati.

Kwanini huo wito uje bungeni? Kunani kinachokuja mbeleni wanamtaka Liso aende mahakamani wanapitisha nini bungeni au ndio Filimee wameanza mama Anna Makinda una kazi kweli kweli bungeni atizame maslahi ya Taifa kama anathamini wananchi wake
 
Kwanza nafikiri hamumfahamu Lisu. Huyo haitaji sana msaada wenu, ni mwanasheria hatari sana, tena mstarabu sana na sisi CCM tunajua hilo, katika wabunge 5 bora yumo. Ana uwezo wa kushika nafasi yoyote ile CCM, ila hataki. Wana JF muwe a bit more constructve in your discussion. Swala sio kudhalilisha watu bali kujenga nchi yetu as thinkers.
 
Ana kesi kibao huyu.

Alidhania akipata ubunge atakuwa ameukimbia mkono wa sheria.

Judge hawezi kukurupuka kumtumia summons, there are very serious issues.

Aache kulalama na kuyumbisha bunge likiwa kazini, hakuna wa kumwonea huruma mhalifu.

Sheria ni msumeno, apambane na kesi yake.

Someone kill this skunk please...!!
 
ana kesi kibao huyu.

Alidhania akipata ubunge atakuwa ameukimbia mkono wa sheria.

Judge hawezi kukurupuka kumtumia summons, there are very serious issues.

Aache kulalama na kuyumbisha bunge likiwa kazini, hakuna wa kumwonea huruma mhalifu.

Sheria ni msumeno, apambane na kesi yake.

crap ya kimakamba
 
Ana kesi kibao huyu.

Alidhania akipata ubunge atakuwa ameukimbia mkono wa sheria.

Judge hawezi kukurupuka kumtumia summons, there are very serious issues.

Aache kulalama na kuyumbisha bunge likiwa kazini, hakuna wa kumwonea huruma mhalifu.

Sheria ni msumeno, apambane na kesi yake.

hakika hujui utendalo
 
Ana kesi kibao huyu.

Alidhania akipata ubunge atakuwa ameukimbia mkono wa sheria.

Judge hawezi kukurupuka kumtumia summons, there are very serious issues.

Aache kulalama na kuyumbisha bunge likiwa kazini, hakuna wa kumwonea huruma mhalifu.

Sheria ni msumeno, apambane na kesi yake.

...Ilikuwa sahihi kumpatia ndani ya bunge? Kumbe jamaa ni hatari kiasi hiki.
 
kweli ndgu,tundu anamatatizo yake anataka bunge lisitishwe,nadhani aliemshauri hajui sheria na wailompa kura tundu wamuulize kama ndo walichomtuma huko bungeni,otherwise namsifu sana Lusinde kwa kuwa mkweli na Roho wake mtakatifu ni wa ukweli



Ana kesi kibao huyu.

Alidhania akipata ubunge atakuwa ameukimbia mkono wa sheria.

Judge hawezi kukurupuka kumtumia summons, there are very serious issues.

Aache kulalama na kuyumbisha bunge likiwa kazini, hakuna wa kumwonea huruma mhalifu.

Sheria ni msumeno, apambane na kesi yake.
 
Lissu kaomba bunge lisitishwe ili ijadiliwe hoja ya dharura. Alipoulizwa kuhusu nini akasema kutokana na yeye kama mbunge kuletewa sumons aripoti kwa jaji Mwangesi.

Akasoma vifungu vya sheria kuwa mbunge hawezi kuandikiwa sumons wakati bunge linaendelea hivyo bunge lijadili na kutoa tamko kuwa limedharauliwa. Mh Lissu hakupewa nafasi ya kueleza summons hiyo imetokana na tuhuma zipi au madai gani, bali spika alimwambia akae kwani hilo halina maslahi kwa umma.

Nadhan mmepata picha.

...Kama nimeelewa, ina maana bunge kudharauliwa haina maslahi kwa umma?
 
Hivi mtu akiwa na mtazamo HASI kwa mwana Chadema ni kuwa na matatizo ya akili? Tusipo badilika itakua ngumo kufikia malengo,na tutakua wakuburuzwa tu,mtu ana soo akajibu,na asitumie kanuni kujikomboa,imekula kwake!!!!!
 
...Tuangalie hii katika kona nyingine. Hivi kinachoendelea hapa si kupima uelewa na uvunjwaji wa kanuni unaofanywa Bungeni?. Kuna siku hizi hoja za kuomba mwongozo toka kwa lissu zitatuonyesha ni kitu gani hasa kinaendelea, ama lissu anafanya fujo au anamwekea speaker mitego.
 
Hivi mtu akiwa na mtazamo HASI kwa mwana Chadema ni kuwa na matatizo ya akili? Tusipo badilika itakua ngumo kufikia malengo,na tutakua wakuburuzwa tu,mtu ana soo akajibu,na asitumie kanuni kujikomboa,imekula kwake!!!!!
Kuwa against CDM si tatizo.......... issue to suporting points za huko kuwa kwako agaisnt
 
Back
Top Bottom