Tundu Lissu hukumtendea haki Pinda kumtaka ajiuzulu

Jamani Pinda analinda familia yake. Akiachia ngazi wataishije?
 
Lakini tutasema yote..ila kwa jinsi Lisu alivyouliza it was not right.. Approach ya Lisu ilikosa hekima na busara. Kamanda makini hawezi kuuliza kwa namna ile tena kwa hasira kitu ambacho naona ni ukosefu wa nidhamu..
 
Tundu lisu was right if you have your best but failed why dont you risign! Mtu kama pinda unafiki ni kazi yake, yeye mwenyewe amekili kushindwa sasa anataka aambiwe nini kama si kukaa pembeni.

Uwoga ni ugonjwa mbaya sana
 
Lakini tutasema yote..ila kwa jinsi Lisu alivyouliza it was not right.. Approach ya Lisu ilikosa hekima na busara. Kamanda makini hawezi kuuliza kwa namna ile tena kwa hasira kitu ambacho naona ni ukosefu wa nidhamu..

Nyinyi ndio wale mliozea kumwambia mfalme nguo yako nzuri ili hali yuko uchi.

Infact kwa wastaarabu Pinda alitakiwa awe amejiuzulu hata kabla ya kuulizwa swali Tundu Lissu. Tundu Lissu kumkumbusha Pinda ali resign because he has failed was a BIG FAVOUR to the PM.

But hang on little bit, resignation is an alien vocabulary to CCM.
 
Nijuavyo mimi, kwa mahala mgogoro huu ulipofikia, sio wa Pinda CCM CDM wala serikali, bali ni wa Watanzania wote. Athari za mgogoro huu zinamfika kila mtu. Pamoja na Madktari wenyewe, kwa maana kuwa hata Madaktari waliopo kwenye mgomo lakini psychologically they are not at peace- wameathirika. Hawana amani. Ni kama vita ya Kagera ambayo iliwaathiri hata watu wa Kyela na Mbambay.
Sio busara kusema anayeshindwa kutatua ni Wziri Mkuu Pinda.
Mwenye mawazo ya kutatua mgogoro na aje nayo yatusaidie kutatua tuepukane na shida hii. Kuja na lawama tu, hakutatusaidia kutazidi kutukoroga. Kama kuna mtu ana nia kutumia mgogoro huu kuonyesha udhaifu wa Waziri Mkuu Pinda, hili si lengo la watanzania wote kwa sasa na kama kuna mtu anataka kuonyesha uwezo wake kwa hapa tulipofika basi atatue yeye Madaktari warudi kazini. Tutamshukuru, tutasifu busara yake na itakuwa hazina ya watanzania wote. Wingi wa maarifa usiotatua tatizo ni vurugu kama ya mwendawazimu maana naye anazo akili zisizomsaidia hata yeye mwenyewe
 
Lakini tutasema yote..ila kwa jinsi Lisu alivyouliza it was not right.. Approach ya Lisu ilikosa hekima na busara. Kamanda makini hawezi kuuliza kwa namna ile tena kwa hasira kitu ambacho naona ni ukosefu wa nidhamu..

ukosefu wa nidhamu kwani kamtukana!!, huo ndo ukamanda hakuna kupindisha wala kulembalemba maneno. mmeshazoea dhaifu kuchekacheka ndo mnaona nidhamu. Tena nikwambie katika hali tete kama hii hizo ndo kauli ya makamanda haswa kwani ukichekacheka na kulemba maneno huwezi kupiganisha vita bwana. kama hujui ukamanda hizo ni principal zake.
 
PINDA NI WAKUONEA HURUMA TU! kAMA AMBAVYO ANA HURUMA KWA ALBINOS BANA!! Kuna wakati mpaka nasema afadhali manywele bana!! Khaaa...

Pinda hana ishu, mwongo na mnafiki, anasema kwa hili hawezim kuachia ngazi, watu kwa mamia kufa japo wanaficha ukweli halafu hawezi jiuzulu, ye atajiuzulu kukiwa na nini, tuhuma za rushwa? Pinda bure kabisa mnafiki tu na mapete yake yaki wizard
 
Lakini tutasema yote..ila kwa jinsi Lisu alivyouliza it was not right.. Approach ya Lisu ilikosa hekima na busara. Kamanda makini hawezi kuuliza kwa namna ile tena kwa hasira kitu ambacho naona ni ukosefu wa nidhamu..


hebu muulize wewe swali hilohilo tuone wewe utatumia lugha gani ili akuelewe.

Nyie ndio watu ambao tunawapiga vita maana ni wanafiki maana hata kusema ukweli mnaogopa.

Ulitaka ampe chai na vitafunwa ndio amwambie?
 
Huyo Pinda kila kauli huwa inamshinda kuelewa nakumbuka siku aliyosema Serikali yake na yeye kauli za peoplez power zinawanyima usingizi.
 
Lakini tutasema yote..ila kwa jinsi Lisu alivyouliza it was not right.. Approach ya Lisu ilikosa hekima na busara. Kamanda makini hawezi kuuliza kwa namna ile tena kwa hasira kitu ambacho naona ni ukosefu wa nidhamu..
Statement ya Mh.Lisu ilikuwa hivi, '' if you have done at your very best and you have failed why don't you resign?'' Je kauli hii ni mbaya? Au kwa kuwa ni ya kiingereza. Na ukumbuke PM mwenyewe alitumia maneno mengi kwa kiingereza kujibu hoja hii. Nafikiri PM hakuwa na cha kujieleza akaona ili asionekane kushindwa akafanya kitu kinachoitwa kwenye mazungumzo ''gap fillers''. Lisu was very right.
 
sasa kama waziri mkuu ameshindwa kutatua migogoro na madaktari then he should resign, kama huwezi kusuluhisha tatizo ambalo linaliletea hii nchi hasa kubwa na vifo then anatakiwa aondoke
 
Lissu: If you have done everything in your power and failed why dont you resign?'
Pinda: Mhe.Lisu lugha hiyo si nzuri sana.....mimi nakuheshimu sana umri umesogea unataka nikafie huko kijijini nini? kwa taarifa yako hata mpige mayowe sitoki wewe hujui spika yupo nyuma yangu mfano halisi si uliona vile visahihi vyenu na Zito viilishia wapi au nikuwekee uso wa mbuzi?

hahahhahahahahhahahahahahhahh mbavu zangu mie hahahahhahahah
 
Nabii Musa alimuomba Mwenyezi Mungu ampatie msaidizi imara atakayekidhi mahitaji ya anaowaongoza. Kiukweli Pinda kashindwa kumsaidia Rais wetu na ndio maana anasemwa ni dhaifu

Pinda, chonde chonde kaka yangu nipo chini ya kapeti naomba ujiuzulu kulinda hishma yako na sie wana Katavi Rangers. Hapo ndio heshima na uungwana
 
"mh. Lissu lugha hiyo sio nzuri sana.... Mimi nakuheshimu sana..." upm mtam jamani pinda ametoa kauli toka uvunguni mwa moyo wake.!!

Naanza kuhofia usalama wa viongozi wa upinzani hizi kauli za Pinda na tukio la Dr Ulimboka! Pinda shame on you
 
Lakini tutasema yote..ila kwa jinsi Lisu alivyouliza it was not right.. Approach ya Lisu ilikosa hekima na busara. Kamanda makini hawezi kuuliza kwa namna ile tena kwa hasira kitu ambacho naona ni ukosefu wa nidhamu..

Wewe na Pinda wako ndio hamna nidhamu,
kama ameshindwa kufanya kazi aliyopewa kwa nini asiwaachie wengine nao wajaribu?
Shame on u and Pinda.
 
If you have done everything in your power and failed why don't you resign?

This is one of the best questions ever! Umefanya kila lililo ndani ya mamlaka/uwezo wako lakini umeshindwa kupata solution then what next? Hapa ndipo inapokuja ile dhana ya uwajibikaji ambayo inaonekana kuwa ngumu sana kwa watawala wetu. Uzuri hata PM mwenyewe awali alishakubali kushindwa kwenye hiyo issue.

Hili suali la Lissu likipata waandishi wazuri wakaliandikia paper ya uhakika ni milestone muhimu sana kwenye kuelekea ukombozi wa kweli wa taifa letu. Ni swali fupi lakini lenye mantiki na maana kubwa kuliko kawaida.

Na nirahisi tu, Pinda akijiuzulu akawekwa mwingine japo kutakuwa na mushkeli kwa baraza la mazingira lakini naamini madokta watarudi kazini kwani watampa subira waziri mpya kutekeleza mapendekezo yao. Huyu Pinda nae freemason nini, mbona anaenjoy watu kufa!
 
Back
Top Bottom