Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,758
- 71,139
Ulitaka aulize kwa sauti ya mahaba? lazima iwe kwa kejeli hasa kiongozi anapokiri wazi kuwa jambo hilo limemshinda. Tatizo la madaktari ni nyeti kwani linahusu uhai wa watu tena waliokupa uongozi,sasa ukionyesha kushindwa kwa nini usiulizwe kujiuzulu.Pamoja na ukweli huo wa kumtaka Pinda ajiuzuru kwa kushindwa kutatua tatizo la madaktari lakini ukweli utabaki kuwa Lisu aliuliza swali la nyongeza kwa sauti (Tone) ya kejeli na hivyo kumfanya Pinda kukasirika!
Ni maoni yangu kuwaasa wabunge na hasa wa upinzani watumie lugha ya heshima na laini wanapouliza maswali magumu au kutoa hoja ngumu kwa serikali!
Hata hivyo kama ni kejeli au mahaba haina maana yeyote,muhimu ni uzito wa swali. Namshangaa spika kutaka lisijibiwe swali muhimu kama hilo.