Tundu Lissu hukumtendea haki Pinda kumtaka ajiuzulu

mfano kulia bungeni 2009, "liwalo na liwe" jana na madudu kibao ambayo anakosa maamuzi.

The list is endless kusema kweli...............huyu yuko kwenye top of the list ya watu wanaotakiwa waondoke kabisa kwenye uongozi halafu i hate his pretentiousness
 
Kwa watu wanaoelewa na kukubali utawala wa demokrasia/vyama vingi, basi watakubaliana na kauli ya Lissu 100%. Alichosema na namna alivyosema Lissu ndivyo inavyotakiwa. Mh Pinda anafanya 'zilipendwa' akisaidiwa na Spika, lakini gharama za huu muziki wa zilipendwa zitalipwa na CCM.

Kwa kiongozi yoyote ambaye anashindwa kufanya yale anayooamini na ambayo wanachi wanamtegemea kwa sababu zozote zile (iwe mfumo, ugonjwa, whatever) basi kiongozi huyo anatakiwa ajiuzulu. Kuendelea kukalia kiti ni sawa na kugeuka jiwe. Katika hali ya sasa Pinda hawezi kusema ameshindwa kutatua mgogoro wa madaktari halafu akaendelea na kazi zake kama Waziri mkuu. Haiwezekani. Ama unaondoa vizingiti (mfumo mbaya) au vizingiti vinakuondoa. Lakini vyote viwili haviwezi kubaki halafu tukasema tuna uongozi bora. Tuna shida sana na mentality ya zilipendwa.

Kaka hiyo point lakini tusiache na kuangalia upande wa pili point yako kuu kuhusu suala la utawala wa demokrasia na siasa za vyama. Ambapo utawala uliopo unaposhindwa kutatua matatizo ya jamii inaweza ondolewa vilevile kwa namna hilehile iliyo ifikisha hapo.

Kwa maana hiyo madaktari pia walikuwa na option ya kusema uchaguzi ujao CCM isipojirekebisha watachagua chama mbadala kitakachojali maslahi yao, lakini suala la kusema adui ni Pinda pekee ni la kipuuzi. Yeye ni mtekelezaji lakini si mpanga bajeti za serikali, akisema kajitahidi kashindwa ni kwamba hana tena huwezo wa kuwashawishi wanao toa hizo hela hili hayo mahitaji yakamilishwe sasa why him always?

Serikali ndio inayopanga priorities za matumizi ikiongozwa na sera za chama tawala, kama CCM ni wezi na hawajali makazi na mazingira ya kazi ya madaktari si kosa la mgonjwa kupewa adhabu. Ni madktari kutafuta mbinu zao especially pressuring hili kuijuza jamii ubovu wa makazi na matibabu unatokana na vyanzo vipi hili watu wajue wanapoichagua CCM wajue kabisa kulala chini ni mtindo mmoja na kutopata huduma sahihi is a norm.

Serikali inamajukumu mengi na mahitaji mengi na makundi mengi ya kuyaridhisha katika bajeti hiyo hiyo uchwara ni vigumu kuliridhisha kila kundi katika jamii hila so far serikali yetu imejikita katika kujiridhia wao tu. lakini si kosa la mgonjwa kwenye jamii yeye si mpangaji kabisa wa matumizi na pengine hata hajui haki zake nchini.

Madkatari kama wasomi wana jukumu la kutoa pressure zao kupitia maandishi magazetini au audio media's kuujulisha umma katika harakati za kuitoa serikali mbovu kama wanaiona hivyo. Lakini kwa kuwa adhibu wagonjwa au kumtaja Pinda kila saa ni weak arguments na kutuachia maswali mengi sana kuhusu uwezo wao wa kufikiri madkatari wetu; au labda hawa amini kama CCM inaweza tolewa madarakani ndio maana inawaadhibu wasio stahili kupitia adhabu kwa wasio husika, now that is not thinking outside the democracy of multi parties.
 
Lugha laini do nini?
Pamoja na ukweli huo wa kumtaka Pinda ajiuzuru kwa kushindwa kutatua tatizo la madaktari lakini ukweli utabaki kuwa Lisu aliuliza swali la nyongeza kwa sauti (Tone) ya kejeli na hivyo kumfanya Pinda kukasirika!

Ni maoni yangu kuwaasa wabunge na hasa wa upinzani watumie lugha ya heshima na laini wanapouliza maswali magumu au kutoa hoja ngumu kwa serikali!
 
tangu jana jioni pinda akili yake haijakaa sawa....kuna kitu kinalia ndani ya nafsi yake chenye kuashiria dhulma kwa watanznaia
 
Hakuna kauli yanye heshima katika mambo ya dharula... Pinda na Bi Mkora walipaswa kujua hivyo siku nyingi. Watanzania maskini wanaugulia bila kujua hatima yao. Afu anakuja mtu kama Pinda (Prime Minister) anasema; 1st: "Litakalotokea na litokee, liwalo na liwe" 2nd: "Nimejitahidi kadri nilivyoweza, lakini nimeshindwa". sasa hapo mlitaka Tundu ampigie magoti na kumwambia "JARIBU TENA BABA"? Maisha ya watu wa Tanzania siyo ya kuyachezea bahati nasibu...

kama PM ameshindwa kutatua mgogoro wa madaktari basi na aje na solution ili maisha ya wananchi hawa wanyonge yasiendelee kupukutika kama majani ya kiangazi...na Asipokuwa na solution, basi na aondoke, ajiuzuru...kazi imemshinda!!

Keep it up Lissu...
 
Lisu siyo SHOGA kuongea na Mwanaume mwingine kwa SAUTI LAINI.

Hiyo ya kuongea na PM kwa sauti laini ni kazi ya Mamaa Tunu Pinda.

pinda.jpg

Pamoja na ukweli huo wa kumtaka Pinda ajiuzuru kwa kushindwa kutatua tatizo la madaktari lakini ukweli utabaki kuwa Lisu aliuliza swali la nyongeza kwa sauti (Tone) ya kejeli na hivyo kumfanya Pinda kukasirika!

Ni maoni yangu kuwaasa wabunge na hasa wa upinzani watumie lugha ya heshima na laini wanapouliza maswali magumu au kutoa hoja ngumu kwa serikali!
 
'If you have done everything in your power and failed why dont you resign?" the statement is clear full stop.

True indeed,
Why does'nt Hon Pinda learn from Boniphace Mkwasa who resigned recently on seeing his skills and efforts to help Twiga Stars ended fruitless!!?
 
Kitendo cha kumtaka Waziri Mkuu Pinda ajiuzulu, Mhe.Lisu hakutenda haki.Pinda mara alipoteuliwa tu kuwa waziri Mkuu alijitambulisha kuwa ni mtoto wa mkulima.Kusema hivyo haimaanishi kuwa yeye ni mkulima.Na wote tunajua jinsi watoto wa wakulima wasivyopenda kilimo.Kwa hiyo kumtaka mtoto wa mkulima arudi kulima,aache ulaji alionao sasa,ni sawa na kumwambia ajiue.
Lisu alimtaka PM ajiuzulu wadhifa huo kwa kushindwa kutatua suala la mgomo wa madaktari wakati wa maswali ya moja kwa moja kwa Waziri Mkuu,leo asubuhi.Katika hatua ya kustaabisha,Pinda amekiri kuwa amefanya kila awezalo na ameshindwa.Ndipo katika swali la pili la nyongeza,Lisu akirudia wito wake ule ule alioutoa katika swali la msingi,kwa kiingilishi alisema : 'If you have done everything in your power and failed why dont you resign?'.Spika akasema swali hilo lisijibiwe kwani limerudiwa.Lakini Pinda alisema '...Mhe.Lisu lugha hiyo si nzuri sana.....mimi nakuheshimu sana....'

"Every object continues in its state of rest, or of uniform motion in a straight line, unless compelled to change that state by external forces acted upon it" Newton's first law of motion. Katika hali ya kawaida na hasa siasa za kiafrica, Mzee Pinda hawezi kujiuzuru bila kuwepo na misuko suko kama hiyo ya Mh. Lissu-"External Force" Kumbuka bila kelele za wabunge kuna waheshimiwa mawaziri waliokuwa wanatuhumiwa kutumia ofisi vibaya walikuwa wameapa kutojiuzuru, lakini kwa sababu kulikuwa na "external force" ilimlazimu H.E. Hon. Kikwete kuwatema!! Go ahead Lissu. Tanzania bila PM Pinda inawezekana.
 
'If you have done everything in your power and failed why dont you resign?" the statement is clear full stop.


PM alihamaki bure, hii ilitokana na statement yake kuwa amefanya kila aliloweza na bado mgomo upo sasa atafanya nini zadi ili mgomo usiwepo? Lisu yuko sawa, hapo suala la kuheshimiana au kuto heshimiana halina uhusiano na swali. Alitakiwa kusema siwezi ku-resign sasa labda tunajaribu hatua za pamoja mfano labda na rais, au...... sasa kigumu hapo ni nini....

Au maneno yale ya "LIWALO na LIWE" ndo yanampa shida PM maana huenda hakutarajia kama yangekutana na tukio hili la Dr. Ulimboka kutekwa na kuteswa/au kukusudiwa kuuawa, sasa kiasi ni kama yanamuhukumu hivi au wana JF mnalionaje hilo....
 
Kitendo cha kumtaka Waziri Mkuu Pinda ajiuzulu, Mhe.Lisu hakutenda haki.Pinda mara alipoteuliwa tu kuwa waziri Mkuu alijitambulisha kuwa ni mtoto wa mkulima.Kusema hivyo haimaanishi kuwa yeye ni mkulima.Na wote tunajua jinsi watoto wa wakulima wasivyopenda kilimo.Kwa hiyo kumtaka mtoto wa mkulima arudi kulima,aache ulaji alionao sasa,ni sawa na kumwambia ajiue.
Lisu alimtaka PM ajiuzulu wadhifa huo kwa kushindwa kutatua suala la mgomo wa madaktari wakati wa maswali ya moja kwa moja kwa Waziri Mkuu,leo asubuhi.Katika hatua ya kustaabisha,Pinda amekiri kuwa amefanya kila awezalo na ameshindwa.Ndipo katika swali la pili la nyongeza,Lisu akirudia wito wake ule ule alioutoa katika swali la msingi,kwa kiingilishi alisema : 'If you have done everything in your power and failed why dont you resign?'.Spika akasema swali hilo lisijibiwe kwani limerudiwa.Lakini Pinda alisema '...Mhe.Lisu lugha hiyo si nzuri sana.....mimi nakuheshimu sana....'

...kumtaka mtoto wa mkulima arudi kulima,aache ulaji alionao sasa,ni sawa na kumwambia ajiue...

Ulichoandika hapa si sawa kwani umeshindwa kujenga hoja. Suala la uwajibikaji wa kimadaraka matokeo yake sio kifo. Hivyo hakuna ulinganifu mkuu.

Lisu alimtaka PM ajiuzulu wadhifa huo kwa kushindwa kutatua suala la mgomo wa madaktari...

Sidhani kama hicho ndicho Tundu Lissu alichomaanisha, ila majibu ya mheshimiwa Waziri Mkuu ndio hasa yaliyopelekea ndugu Lissu amshinikize Waziri Mkuu ajiuzulu. Kitendo cha Waziri Mkuu kukiri kuwa, " nimefanya kila niwezalo na nimeshindwa", huu ni udhaifu kimadaraka. Maana ya kauli hii ni marudio ya ile kauli yake tata ya "liwalo na liwe", ila tu wakati huu imetolewa kwa lugha laini.

Katika hatua ya kustaabisha...

Mwisho, sasa ndugu mleta mada hii kama umestaajabishwa na kauli ya Pinda, mbona kichwa cha habari hakioneshi hivyo?
 
Kwa mtaji wa 'LIWALO NA LIWE' na kweli likawa kwa Dr Ulimboka, Mh Pinda hahitaji kusubiri zaidi kusukumwa nje ya ofisi pamoja na aliyemtuma!!!!!!!!!!!!!
 
Pamoja na ukweli huo wa kumtaka Pinda ajiuzuru kwa kushindwa kutatua tatizo la madaktari lakini ukweli utabaki kuwa Lisu aliuliza swali la nyongeza kwa sauti (Tone) ya kejeli na hivyo kumfanya Pinda kukasirika!

Ni maoni yangu kuwaasa wabunge na hasa wa upinzani watumie lugha ya heshima na laini wanapouliza maswali magumu au kutoa hoja ngumu kwa serikali![/QUOTE]

Tumefika hapa kwa ajili ya kudanganyana na kubebana huku, jitu ni mbwa mwitu wewe unaliita mbuzi!!!!:sad:
 
Lakini kuna kweli fulani hapo. If you have done everything in your power and failed why dont you resign?
 
Pamoja na ukweli huo wa kumtaka Pinda ajiuzuru kwa kushindwa kutatua tatizo la madaktari lakini ukweli utabaki kuwa Lisu aliuliza swali la nyongeza kwa sauti (Tone) ya kejeli na hivyo kumfanya Pinda kukasirika!

Ni maoni yangu kuwaasa wabunge na hasa wa upinzani watumie lugha ya heshima na laini wanapouliza maswali magumu au kutoa hoja ngumu kwa serikali!

Pamoja na kuwa nimekupa like, but ngoja pia tuweke clear

Maandiko yanasema hivi....Anaye STAHILI heshima apewe heshima. Hapo neno "stahili" ni muhimu sana. Mtu kama unafanya mambo yenye manufaa kwa wananchi kweli unastahili kujibiwa kwa heshima au kuulizwa swali kwa heshima (tone ya sauti) ila saa nyingine tunasababisha watu wengine wasikie vibaya kwa matendo yetu kuwa hayana faida kwa taifa na ndo maana wengine wanafikia hii hatua ya hizo tone za sauti ambazo wewe umesemea

Hata hivyo assessment yako kuwa lisu alikejeli ktk swali lake la nyongeza kwa kusikiliza tone ya sauti ya lisu is somehow so subjective and may be unrealistic, how do you know moyo wa lisu kuwa alipotoa hiyo sauti (tone) alimaanisha kumkejeli PM.., yah ni maoni yangu tuu...
 
Bravo FJM. huo ndo ukweli-uwezi ukashindwa kumaliza tatizo kwa kusema nikejaribu nimeshindwa -that's not a solution, we want solution and not ezcuse. Tangu awali Bw. Pinda alionesha tabia ya kutaka kuonewa huruma kwa kisingizio cha mtoto wa mkulima. Kiongozi mkubwa kama yeye lazima awe na detarmination and conclusive decision. Asitegemee kuonewa huruma
Spika na naibu wako =please-msiwafunge kwa namna moja au nyingine wapinzani wa ndani ya ccm na wale wa cdm kusema ukweli -wananchi wanaona na kusikia-enzi za kufumbia masuala kwa msingi wa wenzetu umepitwa na wakati.
Nimabie Mh. spika-bunge lako lina mpango gani wa kuwaelemisha wabunge kuhusu kuwa wakweli? Ni vipi mbuge aunge mkono kwa asilimia 300 ilihali anachambua hotuba kwa upande wa kushindwa kutekelezwa? Huoni kuwa mnawafanya wanachi mbumbumbu?
Tumechoka please-spika weka utaratibu, kwa aayeunga mkono bajeti basi asiwe na malalamiko dhidi ya wizara na bajeti husika, la wabunge wawe wazi -wapinge na hata kutaka maelezo bora ya kwa nini bajeti iliyopita ikiwa na mipango ya utekelezaji wa miradi katika majimbo fulani haikutekelezwa?
 
Pinda sio mtoto wa mkulima ni Mtoto wa Al shabaab ndiyo maana amemtumnia magaidi wenzeka Dr. Ulimboka! Eti liwalo na liwe. Al Shabaab utawajua tu kwa matendo yao, Pinda ni mmoja wao.
 
Kiraka bwana-lugha ya stara inaenda kwa wenye sitara siyo kwa wahuni? Mbona tunaona lugha ya kejeli kwa wapinzani tu lkn inanenwa na wa ccm inakuwa lugha ya wastararbu? nani aliinua mdomo kusema Mwiguru anachangia kwa lugh aya kejeli kwa wapinzania? Au kejeli ni kwa pinda tu. afanye kazi -asitake huruma kwa wapinzani-siyo wa kuunga mkono kokote kule ulimwenguni -bali ni kazi ya watawala kutoa majibu ya kuonesha kuwa wapinzani wan nongwa -watawala wasitegemee kusifiwa. Na bado......Naunga mkono pinda kuanza mbele -ameshindwa kutendas badal yake anatoa lugha za kutia kichefuchefu-LIWALO NA LIWE -LIPI HILO?:frown:
 
Tundu as far as i know you since schooling at galanos SS -tanga I am always with confidence into you, keep it -this nation wants people -courageus enough to push things ahead with fear.
 
Back
Top Bottom