Eraldius
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 1,120
- 906
Ni katika vikao vya bunge lililoisha ambapo aliuliza swali kwa nishati na madini,kwanini Tanzania taifa dogo tusisitishe ndoto ya kutumi nishati ya nucrear wakati mataifa makubwa yanataka kuachana nayo.mfano Japani.Muongo alisema sio kweli.
Naleo Japani kuachana na Nucrear ni moja ya habari za Deutsche Welle.
BIG UP LISU.
Naleo Japani kuachana na Nucrear ni moja ya habari za Deutsche Welle.
BIG UP LISU.