Radhia Sweety
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,434
- 1,765
Watu badala ya kuleta habari kamili mnaleta umbeambea tu. Ovyoooooo!
kuweni fair jamani, sio mnaweka vipande vya habari kama vile wote tuna access ya kusikiliza bunge
komba eti anaangalia bunge la uganda ubc tv jee anaelewa kiingereza!tapeli fataki kwa lulu....hapo anakiri umaskini