Nashauri mmoja wa wabunge wa CHADEMA aanzishe hoja ya kutokuwa na imani na serikali ili tupembue mchele na chuya kutoka wabunge wa CCM kama hasira wanazoonyesha ni za kweli au wanatupiga changa la macho?
Hili linatakiwa lifanywe na Zitto atakapohitimisha hoja yake. Aweke motion ya kutokuwa na imani na serikali kisha wabunge wa CDM wasibweteke wasimame kuunga mkono tuone kama magamba wataunga mkono? na wananchi waone nani kweli anawatetea.