de'levis
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,222
- 1,567
isango alikuwa akitoa update wakati ule wa kesi..ukisoma mtiririko na jinsi mashahidi wa ccm walivyokuwa wanahangaika na wengine kununuliwa na ccm na walipofika mahakamani wakakili kupewa hela ili waje watoe ushahidi ni dhahiri kesi hii lissu anashinda lakin kwa hila za ccm lolote laweza kutokea