Tundu Lissu anaivuruga CHADEMA, naomba achunguzwe

Mwenye kuivuruga Chadema ni Zitto na Jack Zoka, tuwe macho na uhusiano huu.


Uhusiano kati ya Zitto na Jack Zoka ambao uliwekwa wazi na vyombo mbalimbali ni taarifa mbaya kwa wanasiasa na wananchi wanaoipenda taifa lao la Tanzania. Uhusiano huu wa Zitto na Jack Zoka ambaye ni mkurugenzi msaidizi wa TISS (usalama wa taifa) umeripitiwa kuwa na historia ndefu tangu wakati wa uchaguzi mkuu. Wakati Zitto anajitapa kuwa anatetea maslahi ya wananchi, mshirika wake wa chanda na pete Jack Zoka anatuhumiwa na wanasiasa na wanachi kufanya kazi ya kuwadhuru badala ya kulilinda taifa. Kama mshirika wa Zitto anadhuru wananchi ni wazi kuwa naye Zitto ana masalahi binafsi na mabaya kwa wananchi. Maana ukitaka kujua tabia ya mtu, uliza tabia ya rafiki yake. Ni jambo la kusikitisha Zitto kuwa na uhusiano na huyu mfanyakazi wa usalama wa taifa anayedhuru watu na wakati huohuo anajidai kuwa ni mpambanaji. Uhusiano wa Zitto na Jack Zoka ulishawekwa wazi kuwa walikuwa wanawasiliana kwa simu mara kwa mara wakati wa kipindi cha uchaguzi. Tuwe macho na urafiki wao na ambao si mwema hata kidogo kwa wanasiana na wananchi wenye uchungu na taifa letu.
 
AMKA WEWE! Wabunge wa CDM wanatetea taifa kwa hoja makini kisha wanawaachiaq wabunge wa CCM kupima na kuamua, hii ni kwa sababu kila hoja inapita kisa wako wengi, Tundu lissu na CDM waka sahihi
 
Hakunaga jembe wa ukwel lisu anafumbua mpaka wana uamsho khs muungano naona humjui vzr mh jembe lisu..
 
Jamani hebu tujaribu kukaa chini na kufikiri kidogo kama watu wenye akili timamu
Kuna watu huku JF nafikiri wanalipwa pesa na vyama flan flan kuanzisha mada za kipuuzi kama ya huyu bwana. mimi kwa uelewa wangu mdogo niliyonao na ninavyofahamu maisha ya watanzania wengi, ni wachache sana wenye fursa ya kutembelea Jamii forum tena wengi wao ni wale walioajiriwa au kujiajiri kwenye formal sector
Kwa mantiki hiyo watu wanaochangia na kuanzisha mada humu ni watu ambao wana akili zao za kuwatosha kufikiri na kuona hali ya Watanzania kwa sasa inavyosikitisha na kuhuzunisha
Nyie mnaotuma kupost utumbo humu mnakosea maana wale mliozoea kuwadanganya na kanga, wali, na pombe ndugu zanguni hawana uwezo wa kuingia jamii forum!!!!!!!!! tafuteni namna nyingine ya kuwapata!!!!! mnajua walipo na maisha yao yalivyo magumu!!!! yaani inteligensia ya chama ndio imewatuma kweli kuja kufanya propaganda huku JF???kama ndivyo kawaambieni wamechemka maana nguvu na pesa wanazotumia zinapotea bure na hamtapata hata mtu 1 humu maana wenye access na JF ni great thickers tena wa ukweli na they know what they are doing!!!!Katibu mwenezi wa chama please acheni kupoteza pesa za chama kwa kuhangaika na watu wa JF sio wapumbavu kama mnavyofikiri!!!!!!!
NENDENI VIJIJINI MKAENDELEE KUWADANGANYA WALE WATU WENU MLIOZOEA KUWADANGANYA. Tuachieni JF Tunadili mambo ya maana yenye tija kwa taifa letu.
na hata vijijini this time mjipange maana wenzenu wametembea na wanaendelea kutembea huko kuamsha watu na wanaamka kweli kweli so get prepared well my brother, KAZI MNAYO maana nakuhakikishia hata sasa ukiitishwa uchaguzi Chama kitakufa kifo kibaya sana brother, sure I`m telling you
 
Kwani lazima uongee chochote hata kama huna cha kusema? mara ngapi wamekaa wakataka kuongea wanazuiliwa si bora tu watoke maana hata wakiongea nini huwa hakipitishwi? mwisho wa siku hata watoe povu za maneno kwa kiasi gani, mandiyooooooooooooooooooo wako wengi. Hebu mwacheni jamani nyie
 
Mh Tudu lissu

Amekuwa akitukosema mijadala yenye tija na Taifa kwa kuwatoa wabunge nje .

1. Mjadala wa katiba- Yeye ndie aliewatoa wabunge nje ccm wakapitisha mjadala wa katiba matokeo yake ni madudu ; Tume vijijini inapita Asubuhi kipindi watu wako mashamabani matokeo yake ,watu wanashidwa kutoa maoni; tulitegemea haya yangejadiliwa na wabunge ambao wanayajua mazingara halisi.
- Walitudanganya tungeandamana nchi nzima kupinga kamati ya maoni ya katiba lakini atujasikia mpk leo. wakati tume inaendelea ;
- Mzee mtei katoa hoja ya kulalamikia wajumbe ,kuwa wengi ni Dini moja lkn sijasikia mbunge ata mmoja anatetea hoja hiyo , badala yake inaonekana hoja aina mashiko


2. Bajeti ya ulinzi imepitishwa bila CDM - Badala ya kupeleka hoja za msingi mfano ; wakimbizi wanaotegemewa kusambazwa nchini na wanaotegemea kurudishwa kwao burundi , madhara wanayotuletea watu wa mipakani ;
Nilitegemea wangetoa hoja ya kudai fidia kutoka serikali zao kuhusu uharibifu wa mazingara na watu wanouliwa bila hatia .

Lakini Tidu lissu - aliandaa shutuma khs dkr ulimboka .ikakataliwa bajeti ya upinzani kusomwa.

3 . bajei ya wizara ya kilimo- imepitishwa bila CDM ;kuwepo bungeni-

Hii ni baada ya kutoka nje kutokana na Ajali ya meli
Wizara hii ina madudu mengi- Tulitegemewa wezi wa vocha za mbolea waliokamatwa wamefikishwa wapi;
Kauli mbiu ya kilimo kwanza inatija kwa taifa?
Tundu lissu - kwaondowa wabunge wa bara . ambao tunategemea 80% Kilimo , ndo wiazara mama'

Yapo mengi- asije akawa katumwa km MREMA ; Kwenye hoja za msingi anatuchanganya na vifungu vya sheria visivyo na tija kwetu.

Wakati wa Mh Slaa- Haya mambo hayakuwepo; labda abadilishwe cheo . apewe mtu wenye maonao na Taifa

Una akili za chura mie nakaa kimya wengine watasema kwa nini nimejua akili zako mbovu
 
Mh Tudu lissu

Amekuwa akitukosema mijadala yenye tija na Taifa kwa kuwatoa wabunge nje .

1. Mjadala wa katiba- Yeye ndie aliewatoa wabunge nje ccm wakapitisha mjadala wa katiba matokeo yake ni madudu ; Tume vijijini inapita Asubuhi kipindi watu wako mashamabani matokeo yake ,watu wanashidwa kutoa maoni; tulitegemea haya yangejadiliwa na wabunge ambao wanayajua mazingara halisi.
- Walitudanganya tungeandamana nchi nzima kupinga kamati ya maoni ya katiba lakini atujasikia mpk leo. wakati tume inaendelea ;
- Mzee mtei katoa hoja ya kulalamikia wajumbe ,kuwa wengi ni Dini moja lkn sijasikia mbunge ata mmoja anatetea hoja hiyo , badala yake inaonekana hoja aina mashiko


2. Bajeti ya ulinzi imepitishwa bila CDM - Badala ya kupeleka hoja za msingi mfano ; wakimbizi wanaotegemewa kusambazwa nchini na wanaotegemea kurudishwa kwao burundi , madhara wanayotuletea watu wa mipakani ;
Nilitegemea wangetoa hoja ya kudai fidia kutoka serikali zao kuhusu uharibifu wa mazingara na watu wanouliwa bila hatia .

Lakini Tidu lissu - aliandaa shutuma khs dkr ulimboka .ikakataliwa bajeti ya upinzani kusomwa.

3 . bajei ya wizara ya kilimo- imepitishwa bila CDM ;kuwepo bungeni-

Hii ni baada ya kutoka nje kutokana na Ajali ya meli
Wizara hii ina madudu mengi- Tulitegemewa wezi wa vocha za mbolea waliokamatwa wamefikishwa wapi;
Kauli mbiu ya kilimo kwanza inatija kwa taifa?
Tundu lissu - kwaondowa wabunge wa bara . ambao tunategemea 80% Kilimo , ndo wiazara mama'

Yapo mengi- asije akawa katumwa km MREMA ; Kwenye hoja za msingi anatuchanganya na vifungu vya sheria visivyo na tija kwetu.

Wakati wa Mh Slaa- Haya mambo hayakuwepo; labda abadilishwe cheo . apewe mtu wenye maonao na Taifa
Ilipopitishwa sheria ya hifadhi ya jamii Lissu pia aliwatoa nje wabunge wa CDM? Watu wa CCM vilaza kweli kweli
 
LISSU siyo mwanasiasa saizi ya Tanzania; nchi INAYOENDESHA siasa zisizotaka mijadala na inayopenda umbeya, ushambenga, uchawi, ahadi hewa nk. LISSU ndiye mwanasiasa wangu wa karne: ana hoja zilizokwenda shule, zenye mashiko. LISSU anapigania sheria kwa mfano KATIBA inatamka bayana kuwa (1) ZANZ si nchi (state), na LISSU anachukulia ZANZ hivyo kwamba si nchi; na (2) MUUNGANO unaweza ukavunjwa, tena na bunge tu (tazama ibara 98, AG V REV MTIKILA, 2010) - basi hapo kwa WATU wenye mawazo finyu wanasema oooooooooo LISSU hafai, lakini hivyo ndiyo Katiba inavyotamka. NINAMUOMBEA KWA MUNGU ...
 
Tutokana na tundu lissu kujiingiza moja kwa moja kwenye mgogoro wa zitto wakati yupo msemaji wa chama na katibu nyika ,

bado ana kivuruga chadema
 
Kwani ilikusudi bageti ipitishwe tunahitaji asilimia ngapi za hao wah. kuwepo bungeni??? Naomba tutumie vichwa vyetu kufikiri na sivyinginevyo
 
Mwenye kuivuruga Chadema ni Zitto na Jack Zoka, tuwe macho na uhusiano huu.


Uhusiano kati ya Zitto na Jack Zoka ambao uliwekwa wazi na vyombo mbalimbali ni taarifa mbaya kwa wanasiasa na wananchi wanaoipenda taifa lao la Tanzania. Uhusiano huu wa Zitto na Jack Zoka ambaye ni mkurugenzi msaidizi wa TISS (usalama wa taifa) umeripitiwa kuwa na historia ndefu tangu wakati wa uchaguzi mkuu. Wakati Zitto anajitapa kuwa anatetea maslahi ya wananchi, mshirika wake wa chanda na pete Jack Zoka anatuhumiwa na wanasiasa na wanachi kufanya kazi ya kuwadhuru badala ya kulilinda taifa. Kama mshirika wa Zitto anadhuru wananchi ni wazi kuwa naye Zitto ana masalahi binafsi na mabaya kwa wananchi. Maana ukitaka kujua tabia ya mtu, uliza tabia ya rafiki yake. Ni jambo la kusikitisha Zitto kuwa na uhusiano na huyu mfanyakazi wa usalama wa taifa anayedhuru watu na wakati huohuo anajidai kuwa ni mpambanaji. Uhusiano wa Zitto na Jack Zoka ulishawekwa wazi kuwa walikuwa wanawasiliana kwa simu mara kwa mara wakati wa kipindi cha uchaguzi. Tuwe macho na urafiki wao na ambao si mwema hata kidogo kwa wanasiana na wananchi wenye uchungu na taifa letu.

tumeshaujua mpango wenu wa kumshambulia zitto kila mahali bila sababu ya msingi dawa yenu ipo 2015 mtashangaa mende lazima aangushe kabati!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom