Tundu Lissu anaivuruga CHADEMA, naomba achunguzwe

Mh Tudu lissu

Amekuwa akitukosema mijadala yenye tija na Taifa kwa kuwatoa wabunge nje .

1. Mjadala wa katiba- Yeye ndie aliewatoa wabunge nje ccm wakapitisha mjadala wa katiba matokeo yake ni madudu ; Tume vijijini inapita Asubuhi kipindi watu wako mashamabani matokeo yake ,watu wanashidwa kutoa maoni; tulitegemea haya yangejadiliwa na wabunge ambao wanayajua mazingara halisi.
- Walitudanganya tungeandamana nchi nzima kupinga kamati ya maoni ya katiba lakini atujasikia mpk leo. wakati tume inaendelea ;
- Mzee mtei katoa hoja ya kulalamikia wajumbe ,kuwa wengi ni Dini moja lkn sijasikia mbunge ata mmoja anatetea hoja hiyo , badala yake inaonekana hoja aina mashiko


2. Bajeti ya ulinzi imepitishwa bila CDM - Badala ya kupeleka hoja za msingi mfano ; wakimbizi wanaotegemewa kusambazwa nchini na wanaotegemea kurudishwa kwao burundi , madhara wanayotuletea watu wa mipakani ;
Nilitegemea wangetoa hoja ya kudai fidia kutoka serikali zao kuhusu uharibifu wa mazingara na watu wanouliwa bila hatia .

Lakini Tidu lissu - aliandaa shutuma khs dkr ulimboka .ikakataliwa bajeti ya upinzani kusomwa.

3 . bajei ya wizara ya kilimo- imepitishwa bila CDM ;kuwepo bungeni-

Hii ni baada ya kutoka nje kutokana na Ajali ya meli
Wizara hii ina madudu mengi- Tulitegemewa wezi wa vocha za mbolea waliokamatwa wamefikishwa wapi;
Kauli mbiu ya kilimo kwanza inatija kwa taifa?
Tundu lissu - kwaondowa wabunge wa bara . ambao tunategemea 80% Kilimo , ndo wiazara mama'

Yapo mengi- asije akawa katumwa km MREMA ; Kwenye hoja za msingi anatuchanganya na vifungu vya sheria visivyo na tija kwetu.

Wakati wa Mh Slaa- Haya mambo hayakuwepo; labda abadilishwe cheo . apewe mtu wenye maonao na Taifa


Wewe!!9enda kavae nguo kwanza upake n mafuta,chana nywele ndiyo uje hapa kueleza vizuri na siyo kuleta matapishi yako hapa
 
Mh Tudu lissu

Amekuwa akitukosema mijadala yenye tija na Taifa kwa kuwatoa wabunge nje .

1. Mjadala wa katiba- Yeye ndie aliewatoa wabunge nje ccm wakapitisha mjadala wa katiba matokeo yake ni madudu ; Tume vijijini inapita Asubuhi kipindi watu wako mashamabani matokeo yake ,watu wanashidwa kutoa maoni; tulitegemea haya yangejadiliwa na wabunge ambao wanayajua mazingara halisi.
- Walitudanganya tungeandamana nchi nzima kupinga kamati ya maoni ya katiba lakini atujasikia mpk leo. wakati tume inaendelea ;
- Mzee mtei katoa hoja ya kulalamikia wajumbe ,kuwa wengi ni Dini moja lkn sijasikia mbunge ata mmoja anatetea hoja hiyo , badala yake inaonekana hoja aina mashiko


2. Bajeti ya ulinzi imepitishwa bila CDM - Badala ya kupeleka hoja za msingi mfano ; wakimbizi wanaotegemewa kusambazwa nchini na wanaotegemea kurudishwa kwao burundi , madhara wanayotuletea watu wa mipakani ;
Nilitegemea wangetoa hoja ya kudai fidia kutoka serikali zao kuhusu uharibifu wa mazingara na watu wanouliwa bila hatia .

Lakini Tidu lissu - aliandaa shutuma khs dkr ulimboka .ikakataliwa bajeti ya upinzani kusomwa.

3 . bajei ya wizara ya kilimo- imepitishwa bila CDM ;kuwepo bungeni-

Hii ni baada ya kutoka nje kutokana na Ajali ya meli
Wizara hii ina madudu mengi- Tulitegemewa wezi wa vocha za mbolea waliokamatwa wamefikishwa wapi;
Kauli mbiu ya kilimo kwanza inatija kwa taifa?
Tundu lissu - kwaondowa wabunge wa bara . ambao tunategemea 80% Kilimo , ndo wiazara mama'

Yapo mengi- asije akawa katumwa km MREMA ; Kwenye hoja za msingi anatuchanganya na vifungu vya sheria visivyo na tija kwetu.

Wakati wa Mh Slaa- Haya mambo hayakuwepo; labda abadilishwe cheo . apewe mtu wenye maonao na Taifa

Kosa mali upate elimu.
 
Umeonyesha udhaifu mkubwa kama ccm na viongozi wake na umekuwa mrithi mzuri wa sera za kihuni na uzushi na za kitoto kama za Mwigulu Nchemba, Unataka kujifanya wewe ni kenge kwenye kundi la Mamba!
 
watu wengine bwana wanakurupuka bila uhalisia wake
badala ya kumsifu Lissu ktk mageuzi yake la kuliamsah bunge we unaleta sera za enzi za chama kushika hatamau
lisu kichwa kuliko mama makinda,werema na naibu spika.
 
Mh Tudu lissu

Amekuwa akitukosema mijadala yenye tija na Taifa kwa kuwatoa wabunge nje .

1. Mjadala wa katiba- Yeye ndie aliewatoa wabunge nje ccm wakapitisha mjadala wa katiba matokeo yake ni madudu ; Tume vijijini inapita Asubuhi kipindi watu wako mashamabani matokeo yake ,watu wanashidwa kutoa maoni; tulitegemea haya yangejadiliwa na wabunge ambao wanayajua mazingara halisi.
- Walitudanganya tungeandamana nchi nzima kupinga kamati ya maoni ya katiba lakini atujasikia mpk leo. wakati tume inaendelea ;
- Mzee mtei katoa hoja ya kulalamikia wajumbe ,kuwa wengi ni Dini moja lkn sijasikia mbunge ata mmoja anatetea hoja hiyo , badala yake inaonekana hoja aina mashiko


2. Bajeti ya ulinzi imepitishwa bila CDM - Badala ya kupeleka hoja za msingi mfano ; wakimbizi wanaotegemewa kusambazwa nchini na wanaotegemea kurudishwa kwao burundi , madhara wanayotuletea watu wa mipakani ;
Nilitegemea wangetoa hoja ya kudai fidia kutoka serikali zao kuhusu uharibifu wa mazingara na watu wanouliwa bila hatia .

Lakini Tidu lissu - aliandaa shutuma khs dkr ulimboka .ikakataliwa bajeti ya upinzani kusomwa.

3 . bajei ya wizara ya kilimo- imepitishwa bila CDM ;kuwepo bungeni-

Hii ni baada ya kutoka nje kutokana na Ajali ya meli
Wizara hii ina madudu mengi- Tulitegemewa wezi wa vocha za mbolea waliokamatwa wamefikishwa wapi;
Kauli mbiu ya kilimo kwanza inatija kwa taifa?
Tundu lissu - kwaondowa wabunge wa bara . ambao tunategemea 80% Kilimo , ndo wiazara mama'

Yapo mengi- asije akawa katumwa km MREMA ; Kwenye hoja za msingi anatuchanganya na vifungu vya sheria visivyo na tija kwetu.

Wakati wa Mh Slaa- Haya mambo hayakuwepo; labda abadilishwe cheo . apewe mtu wenye maonao na Taifa[/QUOT
ni ubongo au kinyesi!
 
Mh Tudu lissu

Amekuwa akitukosema mijadala yenye tija na Taifa kwa kuwatoa wabunge nje .

1. Mjadala wa katiba- Yeye ndie aliewatoa wabunge nje ccm wakapitisha mjadala wa katiba matokeo yake ni madudu ; Tume vijijini inapita Asubuhi kipindi watu wako mashamabani matokeo yake ,watu wanashidwa kutoa maoni; tulitegemea haya yangejadiliwa na wabunge ambao wanayajua mazingara halisi.
- Walitudanganya tungeandamana nchi nzima kupinga kamati ya maoni ya katiba lakini atujasikia mpk leo. wakati tume inaendelea ;
- Mzee mtei katoa hoja ya kulalamikia wajumbe ,kuwa wengi ni Dini moja lkn sijasikia mbunge ata mmoja anatetea hoja hiyo , badala yake inaonekana hoja aina mashiko


2. Bajeti ya ulinzi imepitishwa bila CDM - Badala ya kupeleka hoja za msingi mfano ; wakimbizi wanaotegemewa kusambazwa nchini na wanaotegemea kurudishwa kwao burundi , madhara wanayotuletea watu wa mipakani ;
Nilitegemea wangetoa hoja ya kudai fidia kutoka serikali zao kuhusu uharibifu wa mazingara na watu wanouliwa bila hatia .

Lakini Tidu lissu - aliandaa shutuma khs dkr ulimboka .ikakataliwa bajeti ya upinzani kusomwa.

3 . bajei ya wizara ya kilimo- imepitishwa bila CDM ;kuwepo bungeni-

Hii ni baada ya kutoka nje kutokana na Ajali ya meli
Wizara hii ina madudu mengi- Tulitegemewa wezi wa vocha za mbolea waliokamatwa wamefikishwa wapi;
Kauli mbiu ya kilimo kwanza inatija kwa taifa?
Tundu lissu - kwaondowa wabunge wa bara . ambao tunategemea 80% Kilimo , ndo wiazara mama'

Yapo mengi- asije akawa katumwa km MREMA ; Kwenye hoja za msingi anatuchanganya na vifungu vya sheria visivyo na tija kwetu.

Wakati wa Mh Slaa- Haya mambo hayakuwepo; labda abadilishwe cheo . apewe mtu wenye maonao na Taifa

Na wewe mbona unakurupuka kutoa hoja zisizo na msingi? Lissu ni jembe la CDM, CCM wanalijua hilo ndoyo maana mashambulizi ya Lukuvi na Werema yanaelekezwa kwake kila wakati.

Unapaswa kuelewa kuwa system hii bila kuifanyia ujeuri anaoufanya Lissu haiwezi kwenda.

GO! LISSU! GO TUKO PAMOJA, VIBARAKA TUNAWAONA NA WAKO WAZI KABISA.
 
Mtoa mada ni mbwelembwele, hajui anachoandika. Amekurupuka na ndio tatizo la wenye ubongo wa Ki-CCM. Huyu bila shaka ni graduate wa shule za kata!!. Hivi bajeti ya Kilimo imepitishwa na hata kama jibu ni ndio, hivi kwa mfuumo wa uendeshaji bunge, Chadema au CUF au chama chochote cha upinzani kinaweza kuzuia jambo pale vilaza wa CCM wakisema ndio. Kazi ya upinzani bungeni kwa mfumo wa sasa ni kutoa options na kama watawala watakataa, basi ndio bajeti imepita.
 
Mh Tudu lissu

Amekuwa akitukosema mijadala yenye tija na Taifa kwa kuwatoa wabunge nje .

1. Mjadala wa katiba- Yeye ndie aliewatoa wabunge nje ccm wakapitisha mjadala wa katiba matokeo yake ni madudu ; Tume vijijini inapita Asubuhi kipindi watu wako mashamabani matokeo yake ,watu wanashidwa kutoa maoni; tulitegemea haya yangejadiliwa na wabunge ambao wanayajua mazingara halisi.
- Walitudanganya tungeandamana nchi nzima kupinga kamati ya maoni ya katiba lakini atujasikia mpk leo. wakati tume inaendelea ;
- Mzee mtei katoa hoja ya kulalamikia wajumbe ,kuwa wengi ni Dini moja lkn sijasikia mbunge ata mmoja anatetea hoja hiyo , badala yake inaonekana hoja aina mashiko


2. Bajeti ya ulinzi imepitishwa bila CDM - Badala ya kupeleka hoja za msingi mfano ; wakimbizi wanaotegemewa kusambazwa nchini na wanaotegemea kurudishwa kwao burundi , madhara wanayotuletea watu wa mipakani ;
Nilitegemea wangetoa hoja ya kudai fidia kutoka serikali zao kuhusu uharibifu wa mazingara na watu wanouliwa bila hatia .

Lakini Tidu lissu - aliandaa shutuma khs dkr ulimboka .ikakataliwa bajeti ya upinzani kusomwa.

3 . bajei ya wizara ya kilimo- imepitishwa bila CDM ;kuwepo bungeni-

Hii ni baada ya kutoka nje kutokana na Ajali ya meli
Wizara hii ina madudu mengi- Tulitegemewa wezi wa vocha za mbolea waliokamatwa wamefikishwa wapi;
Kauli mbiu ya kilimo kwanza inatija kwa taifa?
Tundu lissu - kwaondowa wabunge wa bara . ambao tunategemea 80% Kilimo , ndo wiazara mama'

Yapo mengi- asije akawa katumwa km MREMA ; Kwenye hoja za msingi anatuchanganya na vifungu vya sheria visivyo na tija kwetu.

Wakati wa Mh Slaa- Haya mambo hayakuwepo; labda abadilishwe cheo . apewe mtu wenye maonao na Taifa

hapo kwenye red hapo, tuseme na wewe ni great thinker au unajaribu kutetea ulaji wako, hiyo bajeti imepitishwa ln?
 
Kwa mtu yoyote mwenye akili na upeo over and above partisan politics, especially katika mazingira ya nchi yetu iliyojaa ufukara wa kila nyanja, nadhani tulichelewa sana kupata viongozi kama Tundu Lissu. Ikifikia hatua mpaka mwanasheria mkuu wa serikali anadandia hoja kwamba mbunge ameharibu furniture, ujue CCM imeishiwa matundu ya kumbana Tundu Lissu. Mimi ni mwana CCM lakini kuna masuala ambayo yamekaa mkao wa maslahi ya taifa zaidi na yanayohitaji non-partisan politics kuyapatia ufumbuzi, na mengi ya hayo ndio Tundu Lissu kwa muda mwingi sana huwa anayasimamia kama kiongozi. Hivi kuna mtanzania mwenye uchungu na nchi hii na aliyetaabika kwa miaka 50 atamwona mtu kama tundu lissu mwehu kweli? Sidhani, na kama yupo, basi huyo ameshiba kupitia hila na dhuluma.
Long Live Tundu Lissu and God Bless You. Wengi tuna imani kubwa sana na wewe.
 
R.B,

Umeandika vyema lakini nakuomba usikate tamaa kutoa elimu ya uraia humu JF kutokana na majibu dhaifu ya baadhi ya Pro-Chadema JF.

Lissu anawapoteza njia wabunge wa Chadema ni aibu kila kitu akisema Lissu mnakifuata bila kutumia akili zenu mungu katupa vichwa kwa ajili ya kufikiri sio kufugia nywele, kumbukeni hapo bungeni amkupelekwa na Tundu Lissu mmetumwa na wapiga kura wenu.

Huyu Liss mnayemfuata kwa upeo wake ni mdogo sana inashangaza mbunge kutumia magazeti ya udaku bungeni kama reference katika kujenga hoja zake halafu ni mwanasheria.

acha izo ww ndo zako ila CDM ni makin sana ilo ni dhahili sana cku izi
 
R.B

UNISOME KWA MAKINI:
1. kwenye kuptisha muswada wa mabadiliko ya katiba CDM hawakutoka.
2. kwenye bajeti ya kilimo ya mwaka gani? manake ya sasa bado haijapita.

* lakini naomba ufahamu hivi, CDM hutoka nje baada ya kuona hoja zao za msingi zimekataliwa na spika, na sio wakati wa kujadili hoja husika.
* pia, kuwepo kwa CDM hakuwezi kuzuia bajeti kupita kutokana na mfumo unaotumika pale bungeni yaan vote by majority.
na kwa taarifa yako maamuzi ya kutoka nje ya kumbe ni chama na sio ya MNADHIMU wake.
* sasa niambie ni bajeti au hoja ya wizara ipi ambayo haikupita kwa sababu CDM hawakutoka nje (yaani walisikilizwa na haikupta)?

Umemjibu sawia ila nadhani watu wa mithili yake huwa kazi yao ni kupoteza muda wa kujadili mambo yenye maana. Na hawa wapo hapa JF kwa ajili ya kupoteza muda kwa mada zisinzo na msingi pamoja na kuleta mada za propaganda ili kupoteza focus ya kujadili mambo ya msingi ya kitaifa.
 
Kwa mtu yoyote mwenye akili na upeo over and above partisan politics, especially katika mazingira ya nchi yetu iliyojaa ufukara wa kila nyanja, nadhani tulichelewa sana kupata viongozi kama Tundu Lissu. Ikifikia hatua mpaka mwanasheria mkuu wa serikali anadandia hoja kwamba mbunge ameharibu furniture, ujue CCM imeishiwa matundu ya kumbana Tundu Lissu. Mimi ni mwana CCM lakini kuna masuala ambayo yamekaa mkao wa maslahi ya taifa zaidi na yanayohitaji non-partisan politics kuyapatia ufumbuzi, na mengi ya hayo ndio Tundu Lissu kwa muda mwingi sana huwa anayasimamia kama kiongozi. Hivi kuna mtanzania mwenye uchungu na nchi hii na aliyetaabika kwa miaka 50 atamwona mtu kama tundu lissu mwehu kweli? Sidhani, na kama yupo, basi huyo ameshiba kupitia hila na dhuluma.
Long Live Tundu Lissu and God Bless You. Wengi tuna imani kubwa sana na wewe.

Kwa lipi mh? jibu hoja
 
Dah huyu mtoa mada katumwa nini au? Coz inaonekana ume2mwa na hao mrengo wa kushoto(ccm)

Sibagui ila naangalia uwezo wa mtu; nashukuru km CDM wamelifanyia kazi
A%20S%20cry.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom