Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,918
- 32,335
R.B,
Umeandika vyema lakini nakuomba usikate tamaa kutoa elimu ya uraia humu JF kutokana na majibu dhaifu ya baadhi ya Pro-Chadema JF.
Lissu anawapoteza njia wabunge wa Chadema ni aibu kila kitu akisema Lissu mnakifuata bila kutumia akili zenu mungu katupa vichwa kwa ajili ya kufikiri sio kufugia nywele, kumbukeni hapo bungeni amkupelekwa na Tundu Lissu mmetumwa na wapiga kura wenu.
Huyu Liss mnayemfuata kwa upeo wake ni mdogo sana inashangaza mbunge kutumia magazeti ya udaku bungeni kama reference katika kujenga hoja zake halafu ni mwanasheria.
Umeandika vyema lakini nakuomba usikate tamaa kutoa elimu ya uraia humu JF kutokana na majibu dhaifu ya baadhi ya Pro-Chadema JF.
Lissu anawapoteza njia wabunge wa Chadema ni aibu kila kitu akisema Lissu mnakifuata bila kutumia akili zenu mungu katupa vichwa kwa ajili ya kufikiri sio kufugia nywele, kumbukeni hapo bungeni amkupelekwa na Tundu Lissu mmetumwa na wapiga kura wenu.
Huyu Liss mnayemfuata kwa upeo wake ni mdogo sana inashangaza mbunge kutumia magazeti ya udaku bungeni kama reference katika kujenga hoja zake halafu ni mwanasheria.
Last edited by a moderator: