Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,360
Tujadili ahadi ya serikali ya CCM ya kupeleka ng'ombe 500 kwa gharama ya shs 200,000,000/=. Nimesikia wakati wa hotuba ya PM wakati anafunga kikao cha bunge, walahi, sikuamini. Halafu ng'ombe waliokufa ni zaidi ya laki nne kwa wilaya tatu!!!!! Kuwafidia wananchi wote walioathirika si ni balaa.mkuu,mbona hamkukaa kujadili ahadi za kikwete ambaye ndie mtawala wa nchi?mpaka mkaanza jadili ahadi za lissu?na huyo unaemuita msomi ameshindwa kujua kwanini lissu mpaka sasa hajatimiza ahadi?majungu tu tena achana jembe wewe huyo unaemuita msomi hata asome vpi hatakaa aufikie uwezo wa lisu.jezea lissu nini
Hapo hatujahesabu mbuzi, kondoo, ngamia na kuku.
It happens only in Tanzania!!!!!!!