Jamaa huwa anaongea english bungeni'sijui kule iramba wote wanajua english!!!!
Mchekini Mh. Tindu Lissu anavyo kandamiza Magamba Bungeni now...
Ananukuu matukio mengi sana hasa rushwa za uchaguzi, Uteuzi wa wakuu wa wilaya na Mikoa ambao woote ni wabunge wa viti maalumu. Lissu anahoji kwa mujibu wa katiba tuliyonayo saa mkuu wa wilaya au mkuu wa Mkoa ni wa mtumishi wa serikali ambayo inapaswa kujibu hoja za wabunge waliopo bungeni, (ieleweke kuwa Bunge ni mhimili tofauti na ule wa serikali) sasa je wabunge waha wa kuteuliwa wanafanya nini bungeni wakati wanapaswa kutekeleza yanayojadiliwa bungeni? Pili; wanapokuwa bungeni wanakuwa wanakosoa serikali hiyohiyo ambayo imewaajiri?
Amesema mengi ila hili limenigusa zaidi;
- majaji waliopo ni wazee, wanaingia kwa kujuana zaidi na hawana vigezo vya kuwepo kwenye nafasi zao.....
Ndugai aponda na kuwapa mda Kambi rasmi ya Upinzani na kuwapa mda mpk jioni warekebishe kipengele hcho au walete adendum ya kurekebisha tamko hlo......
Binafsi sioni uvunjifu wowote wa maadili katika hlo kwn ni ukweli ulio wazi......... sna sna naona propaganda znaendelea bungeni.
Hivi hotuba ya kambi ya upinzani inaandaliwa na mtu mmoja mwenye influence anu inaandaliwa na jopo maalumu la kambi ya upinzani? Je Bajeti hiyohiyo inaweza kutumika wakiwa madarakani? Nauliza hivi kwakuwa sijona chochote alichosema Lisu nimesikia makelele yaliyoambatana na nguvu nyingi hadi kaharibu kipasa sauti na meza yenyewe akahamia kwa mwingine. Zaidi ya hapo sijaona kitu kama bajeti ila tu kuishambulia serikali kana kwamba anafanya kampeni. Kaaaazi kwelikweli.Tunachezewa akili kwa stali ya kipropaganda
Lisu ni Simba aneng'ata bila huruma akiwinda lazima akamate nyama,uwezo wake wa kuchambua mambo,kwa vifungu na kwa kuzingatia kanuni na sheria, uwezo wake huo wa kujenga hoja na kutokuwa na hofu, na kukosoa serikali umemfanya aonekane ni mbunge aliekuwepo bungeni kwa kipindi kirefu ,kumbe ni miaka miwili tu na nusu ya maisha yake ya bungeni.
Kiukweli tukiwa na watu kama lisu hii serikali dhaifu haitakohoa.
Nimemshangaa MWANASHERIA MKUU kujaribu kumbeza LISSU eti si mweledi wa Sheria na pia hajui Kiingereza.Sote WANANCHI tunajua jinsi MWANASHERIA huyu asivyoweza kujieleza hata kidogo,hawezi hata kujenga HOJA ndogo tu zaidi hata KISWAHILI hakijui sembuse KIINGEREZA anajikanyaga tu.Alipokuwa JAJI bila kusoma hawezi kukudadavulia sheria yoyote hata BUNGENI mnaona jinsi akirushiwa HOJA anavyoweweseka.AIBU mwanasheria yeye naye ameonekana hiki cheo kwa kujuana tu.
Nimemshangaa MWANASHERIA MKUU kujaribu kumbeza LISSU eti si mweledi wa Sheria na pia hajui Kiingereza.Sote WANANCHI tunajua jinsi MWANASHERIA huyu asivyoweza kujieleza hata kidogo,hawezi hata kujenga HOJA ndogo tu zaidi hata KISWAHILI hakijui sembuse KIINGEREZA anajikanyaga tu.Alipokuwa JAJI bila kusoma hawezi kukudadavulia sheria yoyote hata BUNGENI mnaona jinsi akirushiwa HOJA anavyoweweseka.AIBU mwanasheria yeye naye ameonekana hiki cheo kwa kujuana tu.
Lissu ni mropokaji tu hajui sheria, isipokuwa anajua uropokaji wa sheria na kiingereza chake ni cha kuunga unga, ni janga la kitaifa Lissu, Tundu ni mfa maji haichi kutapa tapa
Nimemshangaa MWANASHERIA MKUU kujaribu kumbeza LISSU eti si mweledi wa Sheria na pia hajui Kiingereza.Sote WANANCHI tunajua jinsi MWANASHERIA huyu asivyoweza kujieleza hata kidogo,hawezi hata kujenga HOJA ndogo tu zaidi hata KISWAHILI hakijui sembuse KIINGEREZA anajikanyaga tu.Alipokuwa JAJI bila kusoma hawezi kukudadavulia sheria yoyote hata BUNGENI mnaona jinsi akirushiwa HOJA anavyoweweseka.AIBU mwanasheria yeye naye ameonekana hiki cheo kwa kujuana tu.
Lissu ni mropokaji tu hajui sheria, isipokuwa anajua uropokaji wa sheria na kiingereza chake ni cha kuunga unga, ni janga la kitaifa Lissu, Tundu ni mfa maji haichi kutapa tapa