Utakuwa umefanya jambo la mbolea sanaMsemaji wa kambi ya upinzani kuhusu wizara Sheria na katiba Mh Tundu Lissu amedai kuwa Naibu mkurugenzi mkuu wa Usalama wa Taifa Mr Jack Zoka, ACT Ahmed Msangi na Rama ni miongoni mwa watuhumiwa ktk sakata la mateso ya Dr S. Ulimboka huku akirefer gazeti la mwanahalisi. Alielezea kuwa kutesa ama kutaka kuua ni kosa la jinai lililotendwa na watuhumiwa hao. Wakati akitaka kuelezea maoni ya Kambi rasmi ya upinzani kuhusu sakata hilo, muda uliisha. Nikipata hotuba nzima ya upinzani nitaiweka humu.
Amesema mengi ila hili limenigusa zaidi;
- majaji waliopo ni wazee, wanaingia kwa kujuana zaidi na hawana vigezo vya kuwepo kwenye nafasi zao.....
Ndugai aponda na kuwapa mda Kambi rasmi ya Upinzani na kuwapa mda mpk jioni warekebishe kipengele hcho au walete adendum ya kurekebisha tamko hlo......
Binafsi sioni uvunjifu wowote wa maadili katika hlo kwn ni ukweli ulio wazi......... sna sna naona propaganda znaendelea bungeni.
Source: Bunge Live
Nawakilisha.....
Sijui Kikwete alikuwa anatumia lugha gani kujitetea mbele ya Cameroun, coz iyo lugha ya devidi kule ukwereni duh!Jamaa huwa anaongea english bungeni'sijui kule iramba wote wanajua english!!!!
Hivi kilishaacha kuwa chama cha msimu?C D M = Chama Daima Mipasho ndio kazi yenu bado kununua vifaa tu ili muanze kutumbuiza bungeni
Hongera Lissu kwa hotuba iliyosheheni,tunaomba hotuba iwekwe humu ili iwafikie wengi zaidi
Jamaa huwa anaongea english bungeni'sijui kule iramba wote wanajua english!!!!
Mchekini Mh. Tindu Lissu anavyo kandamiza Magamba Bungeni now...
Ndugai aponda na kuwapa mda Kambi rasmi ya Upinzani na kuwapa mda mpk jioni warekebishe kipengele hcho au walete adendum ya kurekebisha tamko hlo......
Binafsi sioni uvunjifu wowote wa maadili katika hlo kwn ni ukweli ulio wazi......... sna sna naona propaganda znaendelea bungeni.
C D M = Chama Daima Mipasho ndio kazi yenu bado kununua vifaa tu ili muanze kutumbuiza bungeni
mbona mnakurupuka kuanzisha uzi hapa jamvini au mnataka kuonekana kwamba na nyie mpoo au mmeanzisha uzii?? Acheni kutuletea utoto wa FB hapa wakutaka sifa za kijinga eti ili ujulikane na watu wengi???? Kama huna mpya kaa kimya na tuliza yako shilingi a.k.a sifuri ili wenye data waanzishe nyuzi za uhakika??
Nadhani elimu pekee uliyonayo ni kujua kubofya browser na kuingua jamii forum,kufagia na k***a vichakani,
ingawa nashawishika kuna mtu anakusaidia mpka uweze kuandika humu,ama hua unachukua siku nzima mpaka huweze comment,maana hata bibi yangu ambae hajaenda darasa hata 1 anakuzidi kifikra na mawazo
Hivi kilishaacha kuwa chama cha msimu?
Endeleeni kugugo majina mengine kabla ya kifo chenu 2015