Dodoma one
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 326
- 29
Tunda kasema uongo hapo
Hizi ni person attacks. Weka 7bu za kutwaminisha
alitaka cjui michango toka kwa wasanii, lkn pia vitu vya marehemu vimeibiwa na vimekutwa ktk gari ya TundaLengo la tunda cjui ni nini mpaka sasa, hivi kwani angesema tu hakuwepo shida ingekuwa nn