tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
ukitoa track yake ya neila, nyingine zote ni hovyo...nyimbo kama starehe gharama anaendeleza kulialia, jamaa simuelewi!
huna point
Mhm hata kama ni stail wasanii huwa wanabadilika ili kuwapa watu ladha tofauti miaka sasa stail ileile? Amefulia tu na yy na asipojitahidi ataisha muda c mrefu
ata ferooz alikua analia.ila tunda leo nasikia yuko ulaya kupiga shoo sina shaka ni zile za sebuleni.
Kulia ndiyo swagger lake ambalo linampa distinction fulani.
apunguze kulia lia...mpaka kwenye "goma la manzese" analia?