SN_VijanaFM
Member
- Mar 25, 2010
- 58
- 0
Source: http://vijana.fm/2010/09/28/tunawasilisha-tzelect-chombo-cha-ushahidi/
Vijana FM inatumia Crowdmap, chombo kilichojengwa na Ushahidi, kukusanya taarifa, mawazo na uzoefu wakati wa Uchaguzi Mkuu Tanzania. Ni matarajio yetu kwamba chombo hiki kitawapa jukwaa watu kutoa taarifa, maoni, kuanzisha mijadala na kueneza ujuzi wa mchakato wa uchaguzi na matukio mbalimbali.
Taarifa zinaweza kuwasilishwa kwa njia tatu:
Imetengenezwa na:
Vijana FM inatumia Crowdmap, chombo kilichojengwa na Ushahidi, kukusanya taarifa, mawazo na uzoefu wakati wa Uchaguzi Mkuu Tanzania. Ni matarajio yetu kwamba chombo hiki kitawapa jukwaa watu kutoa taarifa, maoni, kuanzisha mijadala na kueneza ujuzi wa mchakato wa uchaguzi na matukio mbalimbali.
Taarifa zinaweza kuwasilishwa kwa njia tatu:
- Kwa kutuma barua pepe: TZelect (at) gmail (dot) com
- Kwa Tweeter hashtags #TZelect au #uchaguzitz (Shukrani Jamii Forums)
- Kwa kujaza fomu kwenye tovuti
Imetengenezwa na:
___________________________________________
Nyongeza:
Neno "Ushahidi" lina maana yake. Kwahiyo, taarifa ziwe kamili. Na watu wengine wakishuhudia tukio fulani, itakuwa vema na wao wakituma taarifa zaidi (sehemu, mtaa, jimbo n.k.).
Kwa mfano, kama mtu ameacha taarifa ya watu kushindwa kupiga kura kwenye jimbo fulani itakuwa vizuri kama watu wakimsaidia kwa kuongezea mambo (iwe picha, video clip (youtube), au hata taarifa zaidi) -- kuna kitufe cha "kuongezea."
Nawatakia usiku mwema!
Neno "Ushahidi" lina maana yake. Kwahiyo, taarifa ziwe kamili. Na watu wengine wakishuhudia tukio fulani, itakuwa vema na wao wakituma taarifa zaidi (sehemu, mtaa, jimbo n.k.).
Kwa mfano, kama mtu ameacha taarifa ya watu kushindwa kupiga kura kwenye jimbo fulani itakuwa vizuri kama watu wakimsaidia kwa kuongezea mambo (iwe picha, video clip (youtube), au hata taarifa zaidi) -- kuna kitufe cha "kuongezea."
Nawatakia usiku mwema!