Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
...mjitahidi kuchunguza na msimu kabla hamjatuletea machungwa kutoka Segera.
Sasa hivi machungwa yamemwagika mjini, mpaka sh.50 unapata tunda. Chondechonde wasafiri mnaokuja kwenye sendi ofu sijui vichen pati, nunueni matunda mengine, hata mapera sio mbaya!
Sasa hivi machungwa yamemwagika mjini, mpaka sh.50 unapata tunda. Chondechonde wasafiri mnaokuja kwenye sendi ofu sijui vichen pati, nunueni matunda mengine, hata mapera sio mbaya!