Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Sina maana mfuate style ya maandamano, la hasha ...nina maana mtafute approach nzuri ambayo objective yake itakuwa ni kuwajengea uwezo wa utambuzi wa haki na wajibu wao.
Tafadhali tusipuuze, na mimi nina amini ya kwamba mtanzania yeyote mwenye nia njema na watanzania atapambana kufa na kupona awatoe ndugu zake gizani.
Tafadhali tusipuuze, na mimi nina amini ya kwamba mtanzania yeyote mwenye nia njema na watanzania atapambana kufa na kupona awatoe ndugu zake gizani.