spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
GrEatThinkers,
Hivi sasa kila mtu anataka katiba mpya, hapo hapo unajiuliza huyu amekuwa kiongozi muda mrefu mbona sasa nae anashabikia??
:rain:
Lets Tok!!
Hivi sasa kila mtu anataka katiba mpya, hapo hapo unajiuliza huyu amekuwa kiongozi muda mrefu mbona sasa nae anashabikia??
- Nimegundua kitu kimoja kuwa inawezekana kabisa kuwa Umma una Kiongozi wanaomtambua wao (bila shaka hayta ndani ya CCM) na vile vile kuna Kiongozi wa NEC na Dola lakini hakubaliki ndani ya CCM.
:rain:
Lets Tok!!