Mwita Matteo
JF-Expert Member
- May 16, 2010
- 216
- 55
Katika Tanzania yetu ya leo, ambayo kila Mwanasiasa jicho liko kwenye chaguzi, nafikiri tunahitaji wanaharakati zaidi ya tunavyo wahitaji wanasiasa. Mimi ninavyo jua walio wapinzani leo, kesho watakuwa watawala (nkimaanisha ipo siku nao watatawala0 na wakisha tawala kuna uwezekano mkubwa nao wakalewa mvinyo wa Uongozi na matatizo yetu ya kila siku yakabaki vilevile.
Mimi ninachoona ni kwa wanasiasa karibu wote ni kutafuta popular support of making them reach their goals, na kwa walio wengi 'goal' huwa ni kinyakuwa madaraka na si kutatua matatizo ya waliowapelekea kunyakua hayo madaraka.
Tukiwa kama great thinker nafikiri tunawahitaji wanaharakati zaidi, kwa sababu hakuna siku wanaharakati watachoka kuikosoa serikali iwe ya CCM, CHADEMA, CUF, UPDP, NCCCR, waendelea tu kuikosoa. Leo hii CHADEMA ikiingia madarakani kelele zote za kuikosoa Serikali zitakwisha, labda CCM wanaweza kuanzisha hizo kelele ila lengo lao litakua kurudi tena madarakani na si kumkwamua mwananchi masikini wa Tanzania.
Mimi ninachoona ni kwa wanasiasa karibu wote ni kutafuta popular support of making them reach their goals, na kwa walio wengi 'goal' huwa ni kinyakuwa madaraka na si kutatua matatizo ya waliowapelekea kunyakua hayo madaraka.
Tukiwa kama great thinker nafikiri tunawahitaji wanaharakati zaidi, kwa sababu hakuna siku wanaharakati watachoka kuikosoa serikali iwe ya CCM, CHADEMA, CUF, UPDP, NCCCR, waendelea tu kuikosoa. Leo hii CHADEMA ikiingia madarakani kelele zote za kuikosoa Serikali zitakwisha, labda CCM wanaweza kuanzisha hizo kelele ila lengo lao litakua kurudi tena madarakani na si kumkwamua mwananchi masikini wa Tanzania.