majata
JF-Expert Member
- Oct 7, 2010
- 431
- 179
jeshi la uokozi majini juzi walilala usingizi eti kisa giza wakati ndugu zetu wakiwa wanazama, bila matumaini yoyote.
Sioni kwanini tuendelee kuwapa mshahara wakati kila majanga ya kuzama kwa meri wamedhirisha hawana Tija.
Hivi giza ni sababu kweli ya kushindwa kuokoa watu? Zikowapi kodi zetu?
Sioni kwanini tuendelee kuwapa mshahara wakati kila majanga ya kuzama kwa meri wamedhirisha hawana Tija.
Hivi giza ni sababu kweli ya kushindwa kuokoa watu? Zikowapi kodi zetu?