TanzActive
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 367
- 73
Tutangazie halima wetu kashinda ,ama sivyo yatatokea ya shy
Shy yameshatangazwa?maana nilisikia kulikuwa na fujo na mabomu ya machozi. Nasikia JK aliingia jioni mjini shy akitokea Mwanza. Matokeo ni vipi hapo Shy?Tutangazie halima wetu kashinda ,ama sivyo yatatokea ya shy
Shy yameshatangazwa?maana nilisikia kulikuwa na fujo na mabomu ya machozi. Nasikia JK aliingia jioni mjini shy akitokea Mwanza. Matokeo ni vipi hapo Shy?
Tutangazie halima wetu kashinda ,ama sivyo yatatokea ya shy