kazi mnayo, tena muda mwingine huwa yanayumba yale madude. Nawashauri mkifika mgome kukaa humo, ni bora muende mitaaniDuh, tuna taaabu first year! <img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/frown.gif" border="0" alt="" title="Frown" smilieid="256" class="inlineimg" />
na kugoma ndio tutapigwa na kitu cha upupu.. Yaani taabu kweli, vp mabibo hostel?kazi mnayo, tena muda mwingine huwa yanayumba yale madude. Nawashauri mkifika mgome kukaa humo, ni bora muende mitaani
Mabibo sijawahi kaa ila wengi wanalalamikia uchafu.na kugoma ndio tutapigwa na kitu cha upupu.. Yaani taabu kweli, vp mabibo hostel?
ehh Mola, kila mahali pana weakness zake, ila bora uchafu kuliko majanga...Mabibo sijawahi kaa ila wengi wanalalamikia uchafu.
kwa hiyo uchafu siyo janga? Ngoja kilipuke kipindupindu ndipo utakapoona kwamba ni janga au laehh Mola, kila mahali pana weakness zake, ila bora uchafu kuliko majanga...
ikitokea hiyo itakuwa poa sana, maana wasanii watatunga nyimbo nyingi na picha zake zitapendeza sana si unajua hall 2 na hall 5 na kama twin towers za sept 11, tunalisubiri hilo kwa hamu watanzania tuwe kwenye ramani ya dunia tena. Hebu imagine vichwa vya habari katika vyombo vya nje. Dar university disaster, hostels collapse in dar, dar urges for intl aids, dar mourns intellectuals na hapa bongo daily news nalo hill twin towers kill thousands, the african nalo dar varsity in sorrows na lile jingine litasema bodi ya mikopo yapunguziwa mzigo. Wow! Kwa kweli inavutia