Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Wananchi watanzania tumezoea kuhabarishwa kupitia hiki chombo cha UMMA hasa taarifa ya habari kila saa mbili jioni. Leo vipi mnatuonesha mafisadi na wezi wanavyo kula matunda ya uhuru wa nchi yetu.Astagaflah kwahiyo mmeona kufanya hivyo MODS NAJUA NAWEZA PEWA BAN KWA HILI NITAKALOSEMA Serikali na viongozi wake ni wapumbavu,wajinga,manyani,******* tena saanaa am ready for any thing.