Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,140
- 13,215
Hii ilitokea Kwa Majirani zetu nchini Kenya ambao bado wanang'ang'ana kukijua kiswahili fasaha.........
Mwenyekiti wa Kijiji akimkaribisha Mh Waziri kama mgeni Rasmi
Mh Waziri, Kila tukikuita umekuwa ukiharisha (ukiahirisha), lakini leo umekunya (umekuja) na tunakushukuru kwa kunya kwako hapa kwetu leo.......
Karibu sana....
Mwenyekiti wa Kijiji akimkaribisha Mh Waziri kama mgeni Rasmi
Mh Waziri, Kila tukikuita umekuwa ukiharisha (ukiahirisha), lakini leo umekunya (umekuja) na tunakushukuru kwa kunya kwako hapa kwetu leo.......
Karibu sana....