Thanda
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,915
- 596
Na Wa zanzibar wote wanaofanya kazi bara (uhamiaji wako lukuki, polisi nk warudi wakalitumikie taifa lao teule.
TANZANIA itabaki kuwa TANZANIA, na ZANZIBAR itabaki kuwa ZANZIBAR. Tutaungana na WAKOMORO kwani wao wanaulilia muungano tulio nao...we Muulize Jakaya akusimulie hadithi za Ahmed Sambi (Rais wa Comoro) alisema kama ni kuungana na Tanzania yuko tayari wakati wowote na kwa gharama zozote.
TANZANIA itabaki kuwa TANZANIA, na ZANZIBAR itabaki kuwa ZANZIBAR. Tutaungana na WAKOMORO kwani wao wanaulilia muungano tulio nao...we Muulize Jakaya akusimulie hadithi za Ahmed Sambi (Rais wa Comoro) alisema kama ni kuungana na Tanzania yuko tayari wakati wowote na kwa gharama zozote.