Tunapochangia mada kuhusu Wanawake tuwe na STAHA!

Kennedy

JF-Expert Member
Dec 28, 2011
49,016
54,299
Habari wana JF wote.

Kumekuwa na michango mizuri sana ya kuelimisha kuhusu maisha yetu ya kila siku toka hapa JF. Lakini ni vema tunapochangia kuhusu wanawake tukawa na staha, kwa maana moja tusitumie maneno makali, dharau, kukashfu.

Dunia hii bila wanawake haikaliki pia bila wanaume haikaliki vilevile. Wanawake ni mama zetu kuna familia, zina wanaume watupu basi wanatamani angezaliwa na wa kike.

Pia kuna familia zina wanawake tu. Lengo kama nilivyosema staha katika michango yetu iwepo.
 
Ujue mimi kinachonitatiza kuhusu wanaharakati wote ni kimoja tu, nadhani wako biased sana hadi wanaturn a blind eye on how selfish they have become. Hii ni Jamii tunatakiwa kudefine proper way ya communication, rights na responsibilities za everyone.

I totally support the threader in this aspect; Staha ni muhimu sana kwenye kutoa mada na kujibu ili wote tuachieve the 'Home of great thinkers' status that we claim...Watu humu wanaume/wanawake asilimia kubwa saa nyingine wanakosa staha. So we threader address hii problem kwa wote acha kuwa biased!
 
Hasa nikiweka visa vyangu vya ujanani, nashambuliwa na Wabeijing kama mpira wa kona................LOL
.Hawana lolote hao; huwa wanatamani uwafanyie wao. Hujichukia kwa kutozaliwa kabla ya mama zao ili wavifaidi visa vyako. Nawapa POLE zao
 
Kama kuna anaechangia bila staha, mods watamwangalia kwa jicho la upande wa pili na kitakachomtokea atajutiiiia...
 
Back
Top Bottom