ofisa
JF-Expert Member
- May 15, 2011
- 4,137
- 3,764
NKo safarini kikazi Oman, moja ya vitu walivyonifurahisha ni kureserve maeneo ya kihistoria ukiwemo mji wenyewe wa muscut,
kuna fly over nyingi na hakuna foleni barabara ni safi na nzuri ila kazi vitu kupata line ya simu lazima uache copy ya passport yako na vitu muhimu. Ukinunua unaulizwa namba ya simu au passport na ninaamini huku Muscat anti-moneylender inapambana kidhati kuliko bongo kila siku semina juu ya hayo hayo
kuna fly over nyingi na hakuna foleni barabara ni safi na nzuri ila kazi vitu kupata line ya simu lazima uache copy ya passport yako na vitu muhimu. Ukinunua unaulizwa namba ya simu au passport na ninaamini huku Muscat anti-moneylender inapambana kidhati kuliko bongo kila siku semina juu ya hayo hayo