Ninyi mnaompinga Yeriko mmeajiwa? Huku kwetu ni lazima kusaini sheet fukani hivi kabka ya tarehe 20 yenye majina yako yote unayotumia kazini, na check number na vikorombwezo vingi tu ili ipelekwe hazina. Kama mfumo wa lawson haujauliwa ni kwanini tusainishwe hiyo fomu? Yeriko ana hoja na sio mnatuambia habari za fiekd zenu ambazo hamruhusiwi kuyajua ya ndani kwa kina. Endelea kutuhabarisha bwana Yeriko.