Elizaa
Senior Member
- Oct 19, 2010
- 136
- 46
Tulifahamiana miaka miwili iliyopita, wote tulikua divorced, kila mmoja ana watoto tayari, watoto wangu niliwaacha kwetu wa kwake tunaishi nao!
Wote ni wafanya biashara, tukaamua kuunganisha biashara zetu tukawa na kampuni mmoja,Yeye akawa na 75 shares na mimi 20 shares.
Tukaanza maandalizi ya kuoana, kabla ya ndoa ilibidi tuanze kuishi pamoja kwa kuwa mmoja wetu si Mtanzania ili tuweze kufanya taratibu za kisheria ndio tufunge ndoa.
Sasa naona siku zinaenda mwenzangu amerilax ukimuuliza anajibu your my wife don't worry. Mtoto wake mmoja hataki hata kuniona kila siku ni visa vya hapa na pale, na yeye mwenzangu anasema mimi ndio sina hekima ya kuishi na huyu mtoto. Inafika hata mahali ananitukana mbele ya wageni!!
sisi wote ni watu wazima umri kati ya miaka 40 kuendelea,
Je nifanye nini? Naomba ushauri wako.
Wote ni wafanya biashara, tukaamua kuunganisha biashara zetu tukawa na kampuni mmoja,Yeye akawa na 75 shares na mimi 20 shares.
Tukaanza maandalizi ya kuoana, kabla ya ndoa ilibidi tuanze kuishi pamoja kwa kuwa mmoja wetu si Mtanzania ili tuweze kufanya taratibu za kisheria ndio tufunge ndoa.
Sasa naona siku zinaenda mwenzangu amerilax ukimuuliza anajibu your my wife don't worry. Mtoto wake mmoja hataki hata kuniona kila siku ni visa vya hapa na pale, na yeye mwenzangu anasema mimi ndio sina hekima ya kuishi na huyu mtoto. Inafika hata mahali ananitukana mbele ya wageni!!
sisi wote ni watu wazima umri kati ya miaka 40 kuendelea,
Je nifanye nini? Naomba ushauri wako.