support wpn
Senior Member
- Dec 30, 2011
- 151
- 12
Wanajavi wakati wa mgomo wa daktari tulikua tunawasikia watu wa kada tofauti wakitoa maoni yao kuhusiana na mgomo wa daktari,wengine walikua wakiwapinga madaktari, wengine kusupport madaktari,wengine kusupport serikali kuhusu mgomo,mfano wa kada hizo ni mtangazaji wa clous fm ndg kibonde na mch lusekelo(mzee wa upako),ndg kibonde kupitia kipindi cha jahazi cha redio hiyo na mchungaji lusekelo kupitia kituo cha channeal ten walionyesha hisia zao kali kusupport serikali, so kwa haya makubaliano yaliyofikiwa kati ya serikali na madaktari na kuoneakana kuwa madaktari walikua na madai ya msingi mpaka serikali kufikia hatua ya kauwasimamisha kazi mganga mkuu na katibu mkuu ya wizara ya afya ,ndg kibonde na mch lusekelo wanasimama wapi kwa hali hii serikali kukubari yaishe na kukiri kulikua na mapungufu katika wizara ya afya.Karibuni wajavi tujadili,MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE