Angalia pia jinsia, utagundua tofauti kati ya picha hizi mbili. Sijui unajifunza nini?
Wanawake waandamanaji wa uingereza wanakerwa na wizi wa mali za watanzania walalahoi wakati wanaume wa kitanzania wanakerwa na George W. Bush kwa masuala yasiyohusiana na wizi wa mali ya walalahoi wa Tanzania. Nadhani kuna mengi mengine ya kujifunza hapa.