Ingekuwa bora zaidi kama ungemtaka JK mwenyewe...Dr.Slaa hatazungumza tofauti na mawazo yako ama wengine.mods tunaomba muwasiliane na Dr.Slaa mumuombe aje tena JF ajibu maswali ya moja kwa moja,
yapo mengi ya kumuuliza hasa kipindi hiki mfano:-
- giza totoro na majibu mepesi ya rais na mawaziri,
- bahasha la jairo.
- kujivua gamba kwa RA.
- sakata la madiwani wa arusha.
- umaskini unaozidi kukua na gharama za maisha.