Tunamuhitaji "Joey Greco" wetu katika kukabiliana na tatizo la "mpango wa kando/nyumba ndogo"

mh sidhani kama kwa kufanya hivi wataacha.dhambi hii inaanzia moyoni mwa mtu.kama mtu hana adabu au tunasema discpline yeye kama yeye pasipo kumuogopa mtu hata umuwekee walinzi mia atafikiria tu namna ya kupata upenyo wa kudanganya.so men mjiheshimu tu na kuacha hizo tabia chafu
 
mh sidhani kama kwa kufanya hivi wataacha.dhambi hii inaanzia moyoni mwa mtu.kama mtu hana adabu au tunasema discpline yeye kama yeye pasipo kumuogopa mtu hata umuwekee walinzi mia atafikiria tu namna ya kupata upenyo wa kudanganya.so men mjiheshimu tu na kuacha hizo tabia chafu

SWEET GIRL. Tatizo na tabia hii haipo kwa wanaume tu. Kwani hata wanawake walio kwenye ndoa/mahusiano wanafanya udanganyifu sana.

Ni kweli inaweza ikawa vigumu kufanya,lakini naamini uwepo wa kipindi hicho utaleta uoga fulani kwa wanaojihusisha na kipindi hicho.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom