SWEET GIRL
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 520
- 377
mh sidhani kama kwa kufanya hivi wataacha.dhambi hii inaanzia moyoni mwa mtu.kama mtu hana adabu au tunasema discpline yeye kama yeye pasipo kumuogopa mtu hata umuwekee walinzi mia atafikiria tu namna ya kupata upenyo wa kudanganya.so men mjiheshimu tu na kuacha hizo tabia chafu