Tunamuenzi vipi hayati SOKOINE!

mwakambonja

New Member
Apr 9, 2012
1
0
Ni wakati wa kumuenzi jabali wa sera za ujamaa na kujitegemea na aliyekua mstali wa mbele kupambana na mafisadi wa jana(mafisadi wa sasa) wakati wa chama kushika hatamu! wazee wa magamba! Ebu tujaribu basi kujifunza kupitia kwa huyu jamaa! che wa bongo! salamu zangu kwa wazee wa nguvu ya umma! tusitumie udhaifu wa chama tawala kwa sasa ili kuingia kwenye mfumo(systime) na kujichumia mali za umma! Natamani kama angefufuka kwa sasa na ajinee TZ ya leo! pamojah!
 
Back
Top Bottom