Tunamshukuru Rais kwa Kuongeza Muda wa Sensa

Naishauri Serikali itumie list za sensa kugawa vitambulisho vya taifa. Asiyeonekana kwenye hizo list atapaswa kujieleza ilikuwaje asiwepo; kama atakuwa na sababu za msingi will be OK vinginevyo kama ni hadithi za akina Ponda hatua stahiki zichukuliwe. Halafu maajabu ya firauni utamkuta Ponda yumo kwenye sensa - kishawauza wenzie.
 
Mimi sijahesabiwa na niliacha idadi ya wanakaya nyumbani na hawakupita na huo muda wa kwenda kwa mtendaji sina kutokana na shughuli zangu .je,nimetenda kosa kisheria
 
Ni kweli nimeongea hayo kwenye hotuba yangu ya leo kwa msisitizo ni kwamba serikali itawachukulia hatua kali wale wote watakaoshindwa kuwasilisha taarifa zao ndani ya muda uliotengwa ikiwa ni pamoja na kuwafutia haki yao ya uraia.
 
jamani nimesikia wimbo wa taifa ghafla nikamsikia kikwete anazungumza lakin sikupata nafasi ya kumsikliza kwa hyo mwenye taarifa sahii atujuze alikuwa anasemaje

Ninarazimishwa na katiba kumtambua Kikwete kuwa Rais wangu, lakini Rais wa moyoni mwangu Dr. Slaa.
 
Mimi sijahesabiwa na niliacha idadi ya wanakaya nyumbani na hawakupita na huo muda wa kwenda kwa mtendaji sina kutokana na shughuli zangu .je,nimetenda kosa kisheria

Utakuwa umevunja Sheria namba 1 ya takwimu ya mwaka 2002. Hukumu yake ni kwenda jela miezi sita au faini au vyote kwa pamoja.
 
Kesho nitakuwa nyumbani waje kunihesabu,ila saa tisa naenda kuangalia mechi
Leo ndio siku ya mwisho, baada ya hapa unatakiwa kupeleka taarifa zako mwenyewe kwa mwenyekiti wako wa mtaa.
 
Mimi nimepiga chaki mlangoni kwangu, na wengi wengine wamefanya hivyo, wana ushahidi gani kama sijahesabiwa? wakiona chaki wanapita.

Kwi kwi kwi teh teh teh!
This is so "stone aged" nashangazwa hata ku type unajuwa!
 
Duh hii ya kuwafutia uraia nadhani ni mwanzo mzuri sana.Sheikh Ponda nimesikia anataka kugombea ubunge jimbo la Ubungo kigezo cha uraia kinaweza kumuengua ha ha ha ha ha ha.Mashabiki wa Sheikh Ponda mwambieni asichezee hii nafasi kama kweli atataka kugombea ubunge.
 
Naishauri Serikali itumie list za sensa kugawa vitambulisho vya taifa. Asiyeonekana kwenye hizo list atapaswa kujieleza ilikuwaje asiwepo; kama atakuwa na sababu za msingi will be OK vinginevyo kama ni hadithi za akina Ponda hatua stahiki zichukuliwe. Halafu maajabu ya firauni utamkuta Ponda yumo kwenye sensa - kishawauza wenzie.

Vitambulisho vya taifa ni haki ya kila raia na hata wakimbizi, kutohesabiwa kwenye sensa hakuondoi haki ya kupatiwa kitambulisho cha taifa.
 
..Walipa kodi tunaumia sana maana ndo mara ya kwanza zoez la sensa linachukua wiki 2! Tukisema rais shart awe mkali ktk maslahi ya kitaifa tunaonekana tuna wivu, hatumpendi rais "mpenda demokrasia na uhuru wa kujieleza"!
 
Rais amewataka watu wote watakaoshindwa kuhesabiwa mpaka siku ya mwisho ya sensa, wapeleke taarifa zao kwa viongozi wa maeneo yao ndani ya siku saba ili taarifa zao zipelekwe panapohusika. Baada ya muda huo kupita wale watakaoshindwa kufanya hivyo watashughulikiwa.

Source: Hotuba Ya Rais

Tyrant JK anataanza kuonyesha makucha yake?! Mnawashughulikia kwa makosa yenu - ya kushindwa kutimiza majukumu yenu? Ndiyo yale yale ya SA (polisi kuua waandamanaji na waandamanaji waliosalimika kushitakiwa kwa "kuua'')
 
Back
Top Bottom