Du! Mkuu; hapo alitoka photocopy ya Simba Wa Vita.
Kuuliza si ujinga kwakweli me na picha ila siju kupost munielekeze naomba msaada wenu. Thnks
When is it politically correct to asses somebody critically after his death?
Maana mimi nina some negative reviews of Kawawa's life na sijui kama mnaweza kuzi stomach hapa, na sikutaka kusema lakini naona watu wana solicit views.
Ninafikiri kuhusu "we dare speak open" but at the same time kuna issue ya cultural sensitivity.
dont worry mkuu, we sema ukweli tu unaoufahamu kumhusu huyu simba wa vita.
Huu ni ukweli nilioupata kutoka kwa wazee wenyewe waliofanya naye kazi kuhusu hii mikopo, hususan kutoka NIC.
Kama ni ukweli wataje basi hao "wazee" waliokupatia huo ukweli. La sivyo utakuwa mzushi tu na kuishia kusema huwezi kuwataja kwa kulinda anonymity yao. Wataje hao "wazee"...
akiwataha iweje sasa wakati wa kuendesha nae kesi ndiyo hivo tena kawahi kwenye makao engine. Ni vema tuuu kasema kile anachokifahamu wala tusimtishie itakuwa kama tunalazimisha kila mtu awe anasifia tuu hata kama sifa sio za kweli
Kama ni ukweli wataje basi hao "wazee" waliokupatia huo ukweli. La sivyo utakuwa mzushi tu na kuishia kusema huwezi kuwataja kwa kulinda anonymity yao. Wataje hao "wazee"...
When is it politically correct to asses somebody critically after his death?
Maana mimi nina some negative reviews of Kawawa's life na sijui kama mnaweza kuzi stomach hapa, na sikutaka kusema lakini naona watu wana solicit views.
Ninafikiri kuhusu "we dare speak open" but at the same time kuna issue ya cultural sensitivity.