Ni muda umepita na umeanza kusahaulika,lakin ujasir wako ktk maamuzi ya manufaa kwa askari wadogo,inatufanya tukukumbuke AFANDE MAHITA,mwenzako huyu kwa vile ameteuliwa KISIASA,yaani ndio ameligawa jeshi,ki-uongoz,kikabila,ki-mikoa,kwa sura,kwa vyeo,na kibaya zaid hana utetez kwa askari wadogo ki maslah wala ki'-promotion! TUNAKUKUMBUKA BABA MAHITA