spartacus
JF-Expert Member
- Sep 26, 2010
- 428
- 142
Wasomi kuna kitu wanaita "trends and development", waungwana mtanisaidia kiswahili chake, ila ni kitendo cha kuangalia mwenendo mzima wa kitu fulani, then kupitia hilo, unaweza kuanticipate ni nini kinaweza tokea in the near future....em tuangalie hiz T n D zetu
1. hazina imeishiwa hela
2. Dowans inatakiwa kulipwa
3. Umeme wa mgawo
4. Tanesco wanapandisha gharama kwa 18.5% wakti kimataifa, huduma za jamii hata iweje hazitakiwi kupanda kwa asilimia 3 kwa mwaka
5. noti mpya zinazochoka kabla ya kutumiwa
haya ni machache tu, but as Great Thinkers, lets predict tunapoelekea ili tuweze kusuggest jinsi ya kujiandaa na hiyo hali.,....kazi kwetu
1. hazina imeishiwa hela
2. Dowans inatakiwa kulipwa
3. Umeme wa mgawo
4. Tanesco wanapandisha gharama kwa 18.5% wakti kimataifa, huduma za jamii hata iweje hazitakiwi kupanda kwa asilimia 3 kwa mwaka
5. noti mpya zinazochoka kabla ya kutumiwa
haya ni machache tu, but as Great Thinkers, lets predict tunapoelekea ili tuweze kusuggest jinsi ya kujiandaa na hiyo hali.,....kazi kwetu