Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Mimi sijaelewa.
Hujaelewa nini??
Mimi sijaelewa.
Wapendwa nimetoka kuongea na Kaizer na ameniTAARIFU kuwa nyumba yao imebarikiwa mtoto wa KIUME...........
Mungu mwenyezi utukuzwe kwa utukufu wako tunaoendelea kuushuhudia! Tunawaombea afya njema Mtoto, Baba na Mama hawa! Uwalinde eeeh Mungu wa Majeshi.........shetani asijipe nafasi katika uchanga wa mtoto na uchovu wa mama! Tunazifunga nguvu zote za ibilisi katika UTATU MTAKATIFU.....Mungu Baba, Mungu Mwana na Roho Mtakatifu!
AMEN!
Congratulations Kaizer and family, well done!Wapendwa nimetoka kuongea na Kaizer na ameniTAARIFU kuwa nyumba yao imebarikiwa mtoto wa KIUME...........
Mungu mwenyezi utukuzwe kwa utukufu wako tunaoendelea kuushuhudia! Tunawaombea afya njema Mtoto, Baba na Mama hawa! Uwalinde eeeh Mungu wa Majeshi.........shetani asijipe nafasi katika uchanga wa mtoto na uchovu wa mama! Tunazifunga nguvu zote za ibilisi katika UTATU MTAKATIFU.....Mungu Baba, Mungu Mwana na Roho Mtakatifu!
AMEN!
Wapendwa nimetoka kuongea na Kaizer na ameniTAARIFU kuwa nyumba yao imebarikiwa mtoto wa KIUME...........
Mungu mwenyezi utukuzwe kwa utukufu wako tunaoendelea kuushuhudia! Tunawaombea afya njema Mtoto, Baba na Mama hawa! Uwalinde eeeh Mungu wa Majeshi.........shetani asijipe nafasi katika uchanga wa mtoto na uchovu wa mama! Tunazifunga nguvu zote za ibilisi katika UTATU MTAKATIFU.....Mungu Baba, Mungu Mwana na Roho Mtakatifu!
AMEN!
kaka kaizer hongera sana. kama mdau alivyosema mtangulize Mungu. Fanya sana mazoezi. Hacha utani na watoto wa jinsia nyingine. kwani kipindi hichi ni kigumu kwa wababa. Wengi ni wakati wa kuanzisha nyumba ndogo. ntakuweka kwenye maombi wewe na familia.
Hongera sana Kaizer & the wife
Mungu awabariki, awape furaha na upendo
:A S-baby:
Jamani! hongereni sana wapendwa mpe hi aunt wangu..
Hongera sana Kaizer............................
Hongera sana mkuu Kaizer! Mungu awalinde na kuwapa afya njema. Mbarikiwe sana
i have got confession
katika watu niliokuwa nawazimia humu ndani wewe Kaizer ni mmoja wao kidogo nianze kujikomba kwako sikujua umeoa mkuu...all in all hongera sana!:spy::spy: