Tunakushukuru Mungu kwa ajili ya familia Ya Kaizer!

Wapendwa nimetoka kuongea na Kaizer na ameniTAARIFU kuwa nyumba yao imebarikiwa mtoto wa KIUME...........

Mungu mwenyezi utukuzwe kwa utukufu wako tunaoendelea kuushuhudia! Tunawaombea afya njema Mtoto, Baba na Mama hawa! Uwalinde eeeh Mungu wa Majeshi.........shetani asijipe nafasi katika uchanga wa mtoto na uchovu wa mama! Tunazifunga nguvu zote za ibilisi katika UTATU MTAKATIFU.....Mungu Baba, Mungu Mwana na Roho Mtakatifu!

AMEN!


Hongera sana kiongozi,
umempata mpiganaji, kaizer junior!,
Imetulia hii.
 
Wapendwa nimetoka kuongea na Kaizer na ameniTAARIFU kuwa nyumba yao imebarikiwa mtoto wa KIUME...........

Mungu mwenyezi utukuzwe kwa utukufu wako tunaoendelea kuushuhudia! Tunawaombea afya njema Mtoto, Baba na Mama hawa! Uwalinde eeeh Mungu wa Majeshi.........shetani asijipe nafasi katika uchanga wa mtoto na uchovu wa mama! Tunazifunga nguvu zote za ibilisi katika UTATU MTAKATIFU.....Mungu Baba, Mungu Mwana na Roho Mtakatifu!



AMEN!
Congratulations Kaizer and family, well done!
 
Honger sana wandugu
Mungu awajalie na awaongoze ktk malezi mema na yenye kumkumbuka Mungu siku zote na ktk kila jambo kwani yeye ana majibu ya changamoto zote zinazotukabili
 
Wapendwa nimetoka kuongea na Kaizer na ameniTAARIFU kuwa nyumba yao imebarikiwa mtoto wa KIUME...........

Mungu mwenyezi utukuzwe kwa utukufu wako tunaoendelea kuushuhudia! Tunawaombea afya njema Mtoto, Baba na Mama hawa! Uwalinde eeeh Mungu wa Majeshi.........shetani asijipe nafasi katika uchanga wa mtoto na uchovu wa mama! Tunazifunga nguvu zote za ibilisi katika UTATU MTAKATIFU.....Mungu Baba, Mungu Mwana na Roho Mtakatifu!

AMEN!

kaka kaizer hongera sana. kama mdau alivyosema mtangulize Mungu. Fanya sana mazoezi. Hacha utani na watoto wa jinsia nyingine. kwani kipindi hichi ni kigumu kwa wababa. Wengi ni wakati wa kuanzisha nyumba ndogo. ntakuweka kwenye maombi wewe na familia.
 
Hongera Familia ya Kaizer Mungu awaongeze mumlee mtoto wenu kwenye makuzi mema ya kumpendeza Mungu!
 
kaka kaizer hongera sana. kama mdau alivyosema mtangulize Mungu. Fanya sana mazoezi. Hacha utani na watoto wa jinsia nyingine. kwani kipindi hichi ni kigumu kwa wababa. Wengi ni wakati wa kuanzisha nyumba ndogo. ntakuweka kwenye maombi wewe na familia.


Thanks Nyumba Kubwa kwa wishes, we are doing fine....nimeusikia usia wako, ila hapo kwen mazoezi, mazoezi gani nifanye....naomba mwongozo
 
i have got confession
katika watu niliokuwa nawazimia humu ndani wewe Kaizer ni mmoja wao kidogo nianze kujikomba kwako sikujua umeoa mkuu...all in all hongera sana!:spy::spy:
 
i have got confession
katika watu niliokuwa nawazimia humu ndani wewe Kaizer ni mmoja wao kidogo nianze kujikomba kwako sikujua umeoa mkuu...all in all hongera sana!:spy::spy:

asa mi nikidhani ni HE kumbe SHE! dah majina mengine.....hakijaharibika kitu hata hivyo:spy:
 
Back
Top Bottom