Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
That's right. Baada ya kumsikiliza ndugu Spika Anna Makinda akiongea na watu wa jimbo lake kuwa hana nyumba na itabidi akope ajenge nyumba, nimeona tukusanye kero za viongozi wetu na tuwapelekee wananchi.
Inawezekana ufanisi wao ubovu unatokana na kuwa wanajitolea kwa muda mrefu na mapato yao ni duni kweli kweli.
Kama alivyosema Spika kuwa yeye ni mtu wa dini na haongopi. Kipato chake hakitoshi na itabidi hakope kama watu wengine ili aweze kujijengea kibanda.
Kama wewe ni kiongozi, mbunge, diwani, meya, rais, makamu, naomba utuletee kero zako. Au kama unamjua kiongozi yoyote yule mwenye kero, tunaomba utuletee kero zake. Na sisi kama wananchi tutazifikiria na kuzitafutia ufumbuzi.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kutatua Kero za Viongozi,
Z-10
Inawezekana ufanisi wao ubovu unatokana na kuwa wanajitolea kwa muda mrefu na mapato yao ni duni kweli kweli.
Kama alivyosema Spika kuwa yeye ni mtu wa dini na haongopi. Kipato chake hakitoshi na itabidi hakope kama watu wengine ili aweze kujijengea kibanda.
Kama wewe ni kiongozi, mbunge, diwani, meya, rais, makamu, naomba utuletee kero zako. Au kama unamjua kiongozi yoyote yule mwenye kero, tunaomba utuletee kero zake. Na sisi kama wananchi tutazifikiria na kuzitafutia ufumbuzi.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kutatua Kero za Viongozi,
Z-10