Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,887
- 32,285
- Thread starter
- #61
Wewe Ritz hivi unajua unachokiongea??? unampeleka mgonjwa muhimbili kipimo cha CT scan anakipata wapi? dawa na vitendea kazi vya theatre na wardini anatoa wapi ?
Harafu akija call mnampa 20,000/= kwanini na yeye hasiende bungeni akale 330,000/= kwa siku tena kwa kukaa tu? mnadhani kuna mtu anapenda shida? maDr. wanawatumikia wananchi kwenye mazingira magumu sana tena kuliko wabunge, leo tanzania mwanasiasa anampangia Dr., Eng, watu proffessional walipwe shs ngapi. tutafika kweli?
bungeni kuna maDr, Eng, maprof wangapi ambao wameacha kufundisha hili nchi iwe na maendeleo wameenda kukaa bungeni. fukuza wote mole waje huku ndio tutaongea lugha moja.
Mkuu kama unaona ubunge unalipa bora utafute jimbo la uchaguzi ukagombee! Fani ya ya udaktari huwezi kuifanyia 'calculation of profit bases' kama wafanyakazi wa viwandani, sasa unapogoma wanaopata matatizo sio serikali ni Watanzania wasio na hatia, wanaendelea kufa wajawazito, vikongwe, watoto wa walala hoi, kwani hao ndio wamekataa kuboresha malahi yenu? Kwa nini basi wahukumie wao?