Ritz;
Padri Shayo ni mtumishi wa Mungu; kila ilivyo mtu wa Mungu hangependa kuwaona watu wakiteseka; Dr. Slaa kazi Mungu ilimshinda zamani yale yaliyokatazwa na Mungu yeye ndiyo aliyapa kipau mbele; ikiwa kama swala dogo tu la kuoa lilimshinda atawaonea huruma watu asiowajua? Huyu Padri Mapunda ni mganga njaa anayetumia jina Mungu kuendesha maisha yake; Dr. Slaa na Mapunda wasikuumize kichwa hata kidogo ni wanafiki tu.
Chama
Gongo la mboto DSM
Padri Shayo ni mtumishi wa Mungu; kila ilivyo mtu wa Mungu hangependa kuwaona watu wakiteseka; Dr. Slaa kazi Mungu ilimshinda zamani yale yaliyokatazwa na Mungu yeye ndiyo aliyapa kipau mbele; ikiwa kama swala dogo tu la kuoa lilimshinda atawaonea huruma watu asiowajua? Huyu Padri Mapunda ni mganga njaa anayetumia jina Mungu kuendesha maisha yake; Dr. Slaa na Mapunda wasikuumize kichwa hata kidogo ni wanafiki tu.
Chama
Gongo la mboto DSM