Tunakupongeza Askofu Shao kwa uzalendo wako, Padri Mapunda, Dr Slaa kuweni na huruma

Huyo askofu anajipendekeza tu, mbona hakuisema serikali kutokana na ukosefu wa vifaatiba.Mbona hakuisema serikali kwauzembe ambao umesababisha kukua kwa mgomo huu.Mbona hakuisema serikali kuhusu umuhimu wa kununua ctscan.Mbona yeye akiugua anatibiwa nje ya nchi.Huyo askofu kama anataka siasa avue joho ashughulike na siasa.Kiongozi wa dini hapaswi kuwa mnafiki.
 
Kinachonifurahisha chochote kile katika nchi hii ni lazima jina la Jemadari Dr Slaa litajwe.Ama kweli Dr Slaa ni mfalme wa Tanzania.
 
Waungwana wengi tulijarajia kwamba Padri Mapunda angetumia mimbari ya dini yaani jukwaa la Altare kuwasihi madakatari wawahurumie wagonjwa na kutafakari athari za mgomo kwa raia wema wanaohitaji huduma yao na ambao hawahusiki na makosa ya mwajiri wao... Lakini kinyume chake Padri akiwa altareni anatamka bila woga kwamba anaunga mkono mgomo wa madaktari, na pia anaiambia Serikali ijiandae kuondoka madarakani.

'anaetaka afanye kazi asietaka aondoke" wewe huoni kwamba kauli hiyo dhaifu? kauli thabiti; "wote waliogoma kazi hawana kuanzia sasa!" Tangaza nafasi za kazi dunia nzima, madaktari waje wawahudumie waTg! {KAMA UTAPATA DAKTARI WA KUFANYAKAZI KWA M3.5 UKATAMBIKE} Kama hilo haliwezekani, kwa nini Mukulu USIWATIMIZIE MADAKTARI MADAI YAO, ILI WANANCHI WAKO WASIFE. pesa za kumwaga zipo, na wewe unajua wapi pa kupunguza! kama kwa wabunge, mawaziri, za safari......manake ulicho amua hakieleki na watu wanakufa!
 
Waungwana wengi tulijarajia kwamba Padri Mapunda angetumia mimbari ya dini yaani jukwaa la Altare kuwasihi madakatari wawahurumie wagonjwa na kutafakari athari za mgomo kwa raia wema wanaohitaji huduma yao na ambao hawahusiki na makosa ya mwajiri wao... Lakini kinyume chake Padri akiwa altareni anatamka bila woga kwamba anaunga mkono mgomo wa madaktari, na pia anaiambia Serikali ijiandae kuondoka madarakani.

'anaetaka afanye kazi asietaka aondoke" wewe huoni kwamba kauli hiyo dhaifu?

kauli thabiti; "wote waliogoma hawana kazi kuanzia sasa!"

Tangaza nafasi za kazi dunia nzima, madaktari waje wawahudumie waTg! {KAMA UTAPATA DAKTARI WA aKUFANYAKAZI KWA M3.5 UKATAMBIKE}

Kama hilo haliwezekani, kwa nini Mukulu USIWATIMIZIE MADAKTARI MADAI YAO, ILI WANANCHI WAKO WASIFE. pesa za kumwaga zipo, na wewe unajua wapi pa kupunguza! kama kwa wabunge, mawaziri, za safari......manake ulicho amua hakieleki na watu wanakufa!
 
Dr Slaa na Padri Mapunda ndio mwajiri wa Madaktari? Au ugomvi uliopo ni kati ya madaktari na Dr Slaa & Padri Mapunda? Mbona mzee Massnja hajasema chochote na hujamtaja? Hii obsession na Dr Slaa itaisha lini?

Hapo chacha...kumbe kweli Africa imejaa confused people. Si madereva dala dala peke yao!
 
Kati ya walioweka matrilion Uswis na mabenki ya nje ambayo yangeweza kujaza madawa na vifaa mahospitalini na hata kuwalipa wafanyakazi wa afya stahiki zao na madaktari ni ni nani wanaotesa watanzania????????
 
Mungi,

Dr Martin Shao anasema madaktari wanapaswa kuzingatia wito wao kwa maana ya maisha kwanza, huku maslahi yao yatatuliwe kwa njia ya mazungumzo sio mgomo.
Kweli unaumwa akili. Mazungumzo gani tena kama ya awali yalishindikana? Huwezi kufikiri chochote katika maisha zaidi ya kumpakazia Dr. Slaa. Uovu wako hautalipa utaishia kulamba mabuti ya watawala tu!
 
ni kweli kabisa mti unaorushiwa mawe kawaida una matunda bora,Dr Slaa ni raisi anayetawala katika mioyo ya watanzania,akiwamo rejao,zomba na mafilili.
 
Waungwana wengi tulijarajia kwamba Padri Mapunda angetumia mimbari ya dini yaani jukwaa la Altare kuwasihi madakatari wawahurumie wagonjwa na kutafakari athari za mgomo kwa raia wema wanaohitaji huduma yao na ambao hawahusiki na makosa ya mwajiri wao... Lakini kinyume chake Padri akiwa altareni anatamka bila woga kwamba anaunga mkono mgomo wa madaktari, na pia anaiambia Serikali ijiandae kuondoka madarakani.
Afanye hilo anatafuta nini?umeshasikia wakitafuta support dhidi ya serikali wanasema People's power lkn People wakifanyiwa hujuma na madaktari wanasema Dr's Power! Hawa People wanakuwa vikaragosi...!
 
Kama dikteta Kikwete na mwenye mawazo yaliyopinda,wangekuwa na huruma wangetekeleza madai ya Madaktari haraka sana kwa manufaa ya wananchi wote ukiwemo wewe gamba la nyoka! Rudia kusoma tena riport ya SIKIKA!
 
Kama dikteta Kikwete na mwenye mawazo yaliyopinda,wangekuwa na huruma wangetekeleza madai ya Madaktari haraka sana kwa manufaa ya wananchi wote ukiwemo wewe gamba la nyoka! Rudia kusoma tena riport ya SIKIKA!

Hivi hunawajua madikteta au umeamua kuropoka...
 
Mungi,

Dr Martin Shao anasema madaktari wanapaswa kuzingatia wito wao kwa maana ya maisha kwanza, huku maslahi yao yatatuliwe kwa njia ya mazungumzo sio mgomo.

Nimekuambia kuwa Dr. Martin Shao ni mmoja wa viongozi/wamiliki wa hospitali ya KCMC, sasa ungetegemea akaunga mkono mgomo?
All in all in any strike and lock out ndiyo utajua vipaji vya watu
 
Nimekuambia kuwa Dr. Martin Shao ni mmoja wa viongozi/wamiliki wa hospitali ya KCMC, sasa ungetegemea akaunga mkono mgomo?
All in all in any strike and lock out ndiyo utajua vipaji vya watu

Na Padri Mapunda kwa nini anaunga mkono ngomo wa madaktari?
 
​umepiga mswaki bado kuna harufu mbya unayoitoa
Wanabodi.

Kwa Watanzania wanaotakia mema nchi yetu wanampongeza Askofu wa Kanisa la (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Dr Martin Shao, kwa uzalendo wake alipowasihi madaktari waliogoma katika hospitali mbali mbali nchini ikiwemo hospitali ya KCMC kureja kazini huku wakiendelea na madai yao serikalini.

Wananchi wengi wamefedheheswa na kauli za Padri Babtiste Mapunda na Dr Slaa, kuunga mkono mgomo wa madaktari...Padri na Dr Slaa, waelezeni Watanzania kwa maoni yenu mgomo unamkomoa nani? Na kumuumiza nani? Je ni kweli migomo ya aina hii inawafikia walengwa na kuwaonjesha maumivu yatokanayo na mgomo?

Dr Slaa, tembelea muhimbili na kakae pale mapokezi walau kwa saa mbili tu ili uone mwenyewe wagonjwa wanavyoteseka na wengine wanavyokufa kwa kukosa huduma halafu uwaambie Watanzania mgomo uendelee hadi lini ama ujirudie mara ngapi ili kuwashikisha adabu hao unaodhani ndio wakosaji na wasiotaka kutoa stahiki ya madaktari..

Tunashindwa kuamini Dr Slaa na Padri Mapunda, wameshindwa kuwahurumia Watanzania wanaoteseka na huku wengine wakifa baada ya kukosa huduma ya kitabibu, miongoni wanaougua ni wanachama wa Chadema sasa watu hao wakifa si anapoteza wananchama.
 
Wanabodi.

Kwa Watanzania wanaotakia mema nchi yetu wanampongeza Askofu wa Kanisa la (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Dr Martin Shao, kwa uzalendo wake alipowasihi madaktari waliogoma katika hospitali mbali mbali nchini ikiwemo hospitali ya KCMC kureja kazini huku wakiendelea na madai yao serikalini.

Wananchi wengi wamefedheheswa na kauli za Padri Babtiste Mapunda na Dr Slaa, kuunga mkono mgomo wa madaktari...Padri na Dr Slaa, waelezeni Watanzania kwa maoni yenu mgomo unamkomoa nani? Na kumuumiza nani? Je ni kweli migomo ya aina hii inawafikia walengwa na kuwaonjesha maumivu yatokanayo na mgomo?

Dr Slaa, tembelea muhimbili na kakae pale mapokezi walau kwa saa mbili tu ili uone mwenyewe wagonjwa wanavyoteseka na wengine wanavyokufa kwa kukosa huduma halafu uwaambie Watanzania mgomo uendelee hadi lini ama ujirudie mara ngapi ili kuwashikisha adabu hao unaodhani ndio wakosaji na wasiotaka kutoa stahiki ya madaktari..

Tunashindwa kuamini Dr Slaa na Padri Mapunda, wameshindwa kuwahurumia Watanzania wanaoteseka na huku wengine wakifa baada ya kukosa huduma ya kitabibu, miongoni wanaougua ni wanachama wa Chadema sasa watu hao wakifa si anapoteza wananchama.
Kwani Dr. Slaa ni kiongozi wa dini?Mbona hujataja viongozi wengine wa kisiasa?Mkuu uko slow...
 
Wanaopaswa kuwahurumia Watz ni wale wanaokusanya kodi zao na kuishia kuzipeleka Uswizi!!! Kwenye accounts zao!!!
 
Kwani Dr. Slaa ni kiongozi wa dini?Mbona hujataja viongozi wengine wa kisiasa?Mkuu uko slow...

Kiongozi wa kisiasa aliyeunga mkono mgomo wa madaktari ni Dr Slaa.
 
Back
Top Bottom