Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Watanzania tuna changamoto tunapaanza maisha ya kutaffuta ajira au kubadilisha ajira. Changamoto inatokana na uhaba wa ajira chache zilizopo. Ukiondoa matatizo ya mifumo, na taratibu za uajiri kwenye taasisi nyingi wengi wetu pia tuna matatizo. na wengine tsisi wenyewe tumekuwa ni kikwazo chetu wenyewe. Matatizo haya nitayataja kwa mtazamo wangu
NJIA nyingine amabyo sio nzuri kabisa ni kutegema baba, mjomba mama, mwanakijiji kwa kutiumia nafasi aliyonayo akusaidie kupata kazi fulani. Njia hii sio nzuri sababu itataua tatizo moja la kazi lakini unaweza usiwe huru kufanya kazi yako kisomi na kimaadili . Unaweza kudharaulika na wafanyakazi wenzako ikjulikana umepata kazi kwa njia za kona kona.Leo ii tunaona wafanyakazi wa BOT wengi wamesoma lakini labda kwa sbabu ya njia walizoapta kazi Image yao????? Anyway wengine wanasema bora pesa imeingia mfukoni
2.MATARAJIO NA AINA YA KAZI TUNAZOTAFUTA
a)Kila mtu ana ndoto ya kuwa na maisha mazuri na hili linachangia baadhi ya watu kuwa na ubaguzi na aina fulani ya kazi. SIo vizuri kwa kijana asiyekuwa na kazi kuwa selective sana. Mfano Serikali inatangaza kazi wahasibu daraja la kwanza Mshahara 210,000. Kijana atajiuliza ivi kweli nitaishi kwa mwezi kwa 210,000. Anajiuliza swali lingine hivi kwa mshahara huu itanichukua miaka mingapi kuwa na kagari kangu wachilia mbali nyumba? Unasahu kuwa kuna watu ofisi iliyotangaza kazi wana watoto wanawasomesha wamepanga ,nyumba wanakwenda kazini na kuridi kila siku na wanakula na kulala.
kwa hiyo watu wajue sio mara zote kiasi kinachotangazwa ndio net pay hasa kwa serikali. kutoaaply kazi kama hhizi unakuwa umejitoa kwenye short list mwenyewe
b) Kuna wengine sababu amesoma degree ya uhasibu anaona hawezi ku apply kazi iliyonadikwa cashier. au sababu ana Bsc ya Engineering hawezi ku apply kazi yenye title ya Techcnician
3. CV AND WRITING SKILLS
Katika maswali ya msingi kujiuliza ni ni kwa kiasi gani CV yako inakuuzakatika kazi fulani. NI kosa kutumia CV na barua ya maombi style ilele kwenye maombi ya kazi tofauti na kampuni tofauti. CUstmize barua na CV yako iendane na kazi iliyotanganzwa na iendane na dhima/ Mission/Vission ya taasisi husika. I mean ni vizuri kubadilisha achivemenet zako, sucesss zako,career history yako na Referee wako na apspect nyingine maelezo yake yafanane fanane na theme ya tasisi fulani ?
Ni hivi kama wewe ni mtoto wa mkulima usiandike CV ambayo ni kama na mtoto wa kibosile fulani( ie ana uhakika) . Kama unapigwa fimbo kwa kuwa huna contact wachape fimbo kwenye kuwa makini kwenye maelezo yako. Jiuze. I dont mean CV iwe na page 6 au barua ya maombi iwe na page 3. google ina majibu na mifano
4. KUJITAYARISHA KWA INTERVIEW /USAILI WA KAZI
Hata kama ni kichwa vipi ni vizuri kujiyaraisha kwa usaili.kujaribu kupata ABC za tasisi husika. Kusoma maswali ya msingi wanayouliza kwenye usaili na kujua wasaili wanategmea jibu gani . Unless unategema u godfather then matayarisho ni muhimu. Ukitumia intenet unaweza kujua maswali common yanayolizwa ingawa wording na syntax inabadilishwa maswali ni yale yale.
Mfano wa swali. Kwa nini tukuajiri wewe na si wengine?
hapa huwezi kuapyta jibu la swali wanalotegema wasaili kwenye mdaftari yako ya chuo. Jibu sahi laweza kuwa Uko Flexible, uwezo wa kujifunza kutoka kwa wenzako haraka, uko social, good team player. ( Dependning na aina ya kazi uliyoomba)
Ni kosa kusema una ozoefu wa kazi miaka mingi. sababu ujui washindani wako wana expernce gani au NI kosa kusema Unajua Programming kama ilikuwa ni requirement ya tangazo la kazi basi kila mshindani anajua kama wewe unajua.
Kwa ni jambo la msingi ku gugo neno kama prepataion for interview utapata nondo nzuri tu na interview yako itakuwa kama kumsukuma mlevi.
usiwape sababu nzuri za wao kusindwa kukuchangua
5. KUTOKUWA NA kUTOTAFUTA TAARIFA
Ingawa binafsi ni mtumiji mzuri wa mtanda laki siwei kubisha sina well infomed news kuhusu ajira za fani yangu. kuna watu wanajitaidi kutoa na kutangza nafasi hapa jf lakini sijui kama nasi tunajitahidi kuwafikishi walengwa wasikuwa na mitandao. Magazeti na kuna mtandao maalum ya kazi. tusaidiae kufahamishana
Kuna kazi za UN na taasisi zake za kujitolea/vlunterring ambazo ingawa malipo ni madogo kwa standard ya maisha yetu si haba. wale wenye dream za kufanya Internationa organisatin mnaweza ku gugo na kujisali kweny mashirak mbali mbali.
Nawasilisha kwa mjadala
- NJIA TUNAZOTUMIA KUTAFUTA AJIRA
NJIA nyingine amabyo sio nzuri kabisa ni kutegema baba, mjomba mama, mwanakijiji kwa kutiumia nafasi aliyonayo akusaidie kupata kazi fulani. Njia hii sio nzuri sababu itataua tatizo moja la kazi lakini unaweza usiwe huru kufanya kazi yako kisomi na kimaadili . Unaweza kudharaulika na wafanyakazi wenzako ikjulikana umepata kazi kwa njia za kona kona.Leo ii tunaona wafanyakazi wa BOT wengi wamesoma lakini labda kwa sbabu ya njia walizoapta kazi Image yao????? Anyway wengine wanasema bora pesa imeingia mfukoni
2.MATARAJIO NA AINA YA KAZI TUNAZOTAFUTA
a)Kila mtu ana ndoto ya kuwa na maisha mazuri na hili linachangia baadhi ya watu kuwa na ubaguzi na aina fulani ya kazi. SIo vizuri kwa kijana asiyekuwa na kazi kuwa selective sana. Mfano Serikali inatangaza kazi wahasibu daraja la kwanza Mshahara 210,000. Kijana atajiuliza ivi kweli nitaishi kwa mwezi kwa 210,000. Anajiuliza swali lingine hivi kwa mshahara huu itanichukua miaka mingapi kuwa na kagari kangu wachilia mbali nyumba? Unasahu kuwa kuna watu ofisi iliyotangaza kazi wana watoto wanawasomesha wamepanga ,nyumba wanakwenda kazini na kuridi kila siku na wanakula na kulala.
kwa hiyo watu wajue sio mara zote kiasi kinachotangazwa ndio net pay hasa kwa serikali. kutoaaply kazi kama hhizi unakuwa umejitoa kwenye short list mwenyewe
b) Kuna wengine sababu amesoma degree ya uhasibu anaona hawezi ku apply kazi iliyonadikwa cashier. au sababu ana Bsc ya Engineering hawezi ku apply kazi yenye title ya Techcnician
3. CV AND WRITING SKILLS
Katika maswali ya msingi kujiuliza ni ni kwa kiasi gani CV yako inakuuzakatika kazi fulani. NI kosa kutumia CV na barua ya maombi style ilele kwenye maombi ya kazi tofauti na kampuni tofauti. CUstmize barua na CV yako iendane na kazi iliyotanganzwa na iendane na dhima/ Mission/Vission ya taasisi husika. I mean ni vizuri kubadilisha achivemenet zako, sucesss zako,career history yako na Referee wako na apspect nyingine maelezo yake yafanane fanane na theme ya tasisi fulani ?
Ni hivi kama wewe ni mtoto wa mkulima usiandike CV ambayo ni kama na mtoto wa kibosile fulani( ie ana uhakika) . Kama unapigwa fimbo kwa kuwa huna contact wachape fimbo kwenye kuwa makini kwenye maelezo yako. Jiuze. I dont mean CV iwe na page 6 au barua ya maombi iwe na page 3. google ina majibu na mifano
4. KUJITAYARISHA KWA INTERVIEW /USAILI WA KAZI
Hata kama ni kichwa vipi ni vizuri kujiyaraisha kwa usaili.kujaribu kupata ABC za tasisi husika. Kusoma maswali ya msingi wanayouliza kwenye usaili na kujua wasaili wanategmea jibu gani . Unless unategema u godfather then matayarisho ni muhimu. Ukitumia intenet unaweza kujua maswali common yanayolizwa ingawa wording na syntax inabadilishwa maswali ni yale yale.
Mfano wa swali. Kwa nini tukuajiri wewe na si wengine?
hapa huwezi kuapyta jibu la swali wanalotegema wasaili kwenye mdaftari yako ya chuo. Jibu sahi laweza kuwa Uko Flexible, uwezo wa kujifunza kutoka kwa wenzako haraka, uko social, good team player. ( Dependning na aina ya kazi uliyoomba)
Ni kosa kusema una ozoefu wa kazi miaka mingi. sababu ujui washindani wako wana expernce gani au NI kosa kusema Unajua Programming kama ilikuwa ni requirement ya tangazo la kazi basi kila mshindani anajua kama wewe unajua.
Kwa ni jambo la msingi ku gugo neno kama prepataion for interview utapata nondo nzuri tu na interview yako itakuwa kama kumsukuma mlevi.
usiwape sababu nzuri za wao kusindwa kukuchangua
5. KUTOKUWA NA kUTOTAFUTA TAARIFA
Ingawa binafsi ni mtumiji mzuri wa mtanda laki siwei kubisha sina well infomed news kuhusu ajira za fani yangu. kuna watu wanajitaidi kutoa na kutangza nafasi hapa jf lakini sijui kama nasi tunajitahidi kuwafikishi walengwa wasikuwa na mitandao. Magazeti na kuna mtandao maalum ya kazi. tusaidiae kufahamishana
Kuna kazi za UN na taasisi zake za kujitolea/vlunterring ambazo ingawa malipo ni madogo kwa standard ya maisha yetu si haba. wale wenye dream za kufanya Internationa organisatin mnaweza ku gugo na kujisali kweny mashirak mbali mbali.
Nawasilisha kwa mjadala