OGOPASANA
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 262
- 144
Riba ni asilimia 20% kwa yeyote anaehitaji zaidi ya milioni 2 anaweza kupata, tunapatikana mtaa wa jamhuri kwa mawasiliano tumia namba zetu hapo juu.
Mkuu mbona unakimbilia watu wawapigie simu?? Hii ni dunia ya utandawazi, taarifa za huduma na bidhaa za biashara yenu zinakuwa siri??? Ni haki ya mteja kujiridhisha kabla hajanunua au hajalipa. Msifanye watu wanaofanya biashara hizi waonekane ni wezi, kama mmeamua kuifanya fuateni taratibu na muwe wawazi.