Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,416
Baada ya tuhuma za Rushwa dhidi ya wabunge wa Bunge la 10, Spika aliunda tume ya maadili chini ya General Ngwilizi kuchunguza tuhuma hizo. Kuna tetesi, report imekamilika, hata halmashauri kuu ya CCM ilitumia kuwakata baadhi ya wagombea. Tumeona wabunge wapambanaji na wapinga Ufisadi kama Mpina walivyokatwa NEC iliyokaa chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa. Pia tumeshuhudia, watuhumiwa wakuu ambao Katibu wa Itikadi ya CCM Mh Nape alitamka wazi kuwa lazima wang'oke, majina yao yakipitishwa.
Swali: Kazi aliyotumwa Ngwilizi ndio sababu kuu ya kushindwa kurudi NEC?
Swali: Kazi aliyotumwa Ngwilizi ndio sababu kuu ya kushindwa kurudi NEC?