I think I'm big mich,larry hover, with work,allelujah one nation under god.........
Kuna safari ndefu kuwatambua hawa watoa neno wetu ila nionacho mimi
Kakobe=Babu wa Loliondo=Mama Rwakatare=Mwingira->Wachumia tumbo .............n.k
sina imani na kakobe
Kuna safari ndefu kuwatambua hawa watoa neno wetu ila nionacho mimi
Kakobe=Babu wa Loliondo=Mama Rwakatare=Mwingira->Wachumia tumbo .............n.k
mi sitii neno kuhusu kakobe.
Wahubiri wote wa kada hii, kuaanzia babu wa Lolindo mpaka Kakobe hawana tofauti na Kakobe.
Kakobe au mwingine yeyote kama Kakobe akiwabalasa, amejibalas mwenyewe.
Wote wasanii tu, wanaosema yasiyo na uhakika wala mshiko. Kuna cousin wangu alikuwa anaangalia movies za cowboys vs. indians halafu anaona indians wanavyochukua
kipigo. Akawaita Indian Chiefs "Ganga Ongo" - a bit unfair on the part of his more judgemental eye.
Kakobe kwangu mie anaonekana kama ana fight a turf battle na huyo babu wa Loliondo, with the difference being Kakobe ni babu wa Dar na "Babu wa Loliondo" ni wa Loliondo.
Other than that wote matapeli watupu.
Kuna safari ndefu kuwatambua hawa watoa neno wetu ila nionacho mimi
Kakobe=Babu wa Loliondo=Mama Rwakatare=Mwingira->Wachumia tumbo .............n.k
Nimegundua tatizo lako ni Mahubiri ya Ukweli yanayotolewa na Askof Kakobe.Hata Pengo hamutambui Kakobe sembuse wewe?
Askofu KAKOBE ni mtu ambaye anaonekana kuwa na msimamo apa nchini na msimamo yake mingi imekuwa ikipingwa na watu wengi lakini mwisho wa siku ukweli unajulikana na wale waliomsikia wanafaidika wakati waliokaidi wanajuta
mfano wa misimamo ni
deci alisema kuwa ni kamari kutoka kusimu wengi walikataa lakini ukweli ukajulikana.
Kuhusu kikombe cha babu loliondo aksema akitoki kwa Mungu ni kumwabudu shetani lakini wengi awakusikia wakasema ni ofu ya kukimbiwa na washirika lakini ukweli ulijulikana wengi wamekufa nawengine kuwa hoi kuliko mwanzo.
Sasa kwa ayo machache tunaitaji mawazo ya mtumishi uyu kwaajili ya maendeleo ya TANZANIA
NAWASILISHA.
Samahani hivi kesi ya KAKOBE na wafuasi wake ilifikia wapi?
Wahubiri wote wa kada hii, kuaanzia babu wa Lolindo mpaka Kakobe hawana tofauti na Kakobe.
Kakobe au mwingine yeyote kama Kakobe akiwabalasa, amejibalas mwenyewe.
Wote wasanii tu, wanaosema yasiyo na uhakika wala mshiko. Kuna cousin wangu alikuwa anaangalia movies za cowboys vs. indians halafu anaona indians wanavyochukua kipigo. Akawaita Indian Chiefs "Ganga Ongo" - a bit unfair on the part of his more judgemental eye.
Kakobe kwangu mie anaonekana kama ana fight a turf battle na huyo babu wa Loliondo, with the difference being Kakobe ni babu wa Dar na "Babu wa Loliondo" ni wa Loliondo.
Other than that wote matapeli watupu.